Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tomiyasu atakosa mechi zilizobaki

"Pretty sure he needs an op (surgery) and his seasons done"

- @Teamnewsandtix
on Tomiyasu
 
| Bukayo Saka:

“Hatuogopi mtu yeyote.

"Nadhani unaweza kuona jinsi tunavyocheza na hata walipokuja [Man City] na jinsi tulivyocheza nao"

"Kwa hivyo ndio, hatuogopi mtu yeyote.

Tutakuwa tayari.”
 
Tomiyasu atakosa mechi zilizobaki

"Pretty sure he needs an op (surgery) and his seasons done"

- @Teamnewsandtix
on Tomiyasu
Lol.....tuombee waliopo wawe fiti, maana jamaa alikuwa msaada sana kwa backline yote.
 
Lol.....tuombee waliopo wawe fiti, maana jamaa alikuwa msaada sana kwa backline yote.
Ila Tomiyasu raundi hii ya pili simuelewi alikuwa anacheza nini.

Ame drop sana kiwango tofauti na alivyokuja.

Aliaminiwa mechi ya City tukamueka White benchi, mwishowe akaja kutuchoma.

Hope he come back stronger!
 
Hii ni kweli?
 
Limesaidia kiasi fulani kuondoa makandokando ya kina manjesta
 
Ila Tomiyasu raundi hii ya pili simuelewi alikuwa anacheza nini.

Ame drop sana kiwango tofauti na alivyokuja.

Aliaminiwa mechi ya City tukamueka White benchi, mwishowe akaja kutuchoma.

Hope he come back stronger!
tomiyasu ni mzuri zaid akicheza fullback ya kushoto.. ni back up nzur sna ya zinchenko.
 
Sasa nikwambie basi.. katika mechi 10 zilizobaki, Arsenal kazifunga timu 7 kati ya timu 10 walizocheza nazo kwenye mzunguko wa kwanza.

Sijui umeelewa? Rudia kusoma tena kenge wewe!
Matusi sio utamaduni wa mashabiki waastarabu hakuna sehemu yeyote niliyetumia lugha ya matusi. Inaonekana unamatatizo makubwa sana ya kimaadili na inaonesha umekosa malezi ya wazazi wa pande mbili.

Hata kama unatumia id fake jaribu kuwa mstaarabu ndugu matusi sio utamqduni wa wanamichezo. Mimi nimetoa maoni yangu sasa matusi na hasira za nini? Kwa hiyo wewe unategemea kuwa chelsea na liver watafungwa na arsenal mara mbili. Na pia mtawafunga man city? sawa kama ndio hivyo bas sawa but haikuwa na haja ya kumimina matusi.
 
Acha kulialia wewe, kinachokuuma ni kuwaona Arsenal walipo. Kama hukubaliani na hali halisi mkuu basi we endelea tu na maumivu mana hakuna namna.

Arsenal ndio bingwa wako msimu huu kubali ama kataa. Iko hivyo!
 
Jamaa kavumilia kashindwa, kaamua kumwaga mbogaView attachment 2558983
Konte kutimuliwa wiki hii

Huenda wakamrudisha Pochetino ingawa nae pia ataka fedha za kufanya usajli wa maana.

Ila Poch ana uwezo wa kukuza vipaji vya vijana wadogo alifanya kazi hiyo akiwa Southampton na Tottenham.

Kuna vijana kama Deli Ali Poch, alimfanya kuwa mchezaji mahili wa kiungo lakini alipoondoka Poch Deli Ali leo hii ni wa kawaida sana.

Wengine kama Son na Kane pia ni mifano tosha ya uwezo wa Pochetino kikuza vipaji.

Tatizo la Tottenham ni deni la uwanja kwamba ni lazima kubana matumizi ili kulipa deni. Arsenal tulikuwa na tatizo hili na Arsene Wenge akawa anasajili wachezaji wengi wa mkopo na wale wa "pay as you go".

Badala yake akawa ana pata wachezaji wa chini ya viwango lakini Arsenal ilikuwa haikosi kucheza Champions League hivyo kuwa na kipatio cha kuiwezesha timu kujiendesha huku klabu ikilipa deni la milioni 300.

Hivyo kwa sisi wengine tuloiona Arsenal ikipitia kipindi kigumu hatushangai sana kuona kinowapata Tottenham leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…