Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hatimaye Wareno weusi tumetia nanga katika bandari ya Lisbon (Porto de Lisboa) tukiongozwa na nahodha wetu wa meli, Captain Bruno Miguel Borges Fernandes tukiwa tumefika hapa kuwapa hamasa Wareno wenzetu. Tutakuwa hapa mwanzo mpaka mwisho wa mchezo na mara baada tu ya mchezo kumalizika tutapaa mpaka jiji la Seville kule nako tuna jambo letu.

Quem ri por ΓΊltimo ri melhor.

 
Kuna jamaa humu alitamba kuwa 'United ni timu inayoongoza kukabia juu', hakujua takwimu zinaonesha ni timu inayoongoza kwa kupaki basi( deep defensive line) na kati ya mechi walizojaribu kucheza high def line zote ziliisha kwa aibu, Brentford 4-0, Man city 6-3, Liverpool 7-0.
 
Tabia za kimalaya malaya afu wewe mtoto wa kiume utakuja ubanduliwe mkuu
 
Tabia za kimalaya malaya afu wewe mtoto wa kiume utakuja ubanduliwe mkuu
Hivi mkuu uwezi kufanya ushabiki pasipo matusi?

Maana naona watu wengi sana mnashindwa tofautisha ushabiki na matusi hapo jamaa kaleta ushabiki na wewe ulitakiwa umjibu kishabiki.

Natamani sana wabongo tukajifunze kwenye magroup ya Kenya.
 
Lisbon na Porto natamani sana kufika. Nitajichanga niende na familia. One day yes.

Mimi nitaenda kutalii ila Gunners wakienda huko kazi yao ni moja tu - kuchukua ushindi.
 
Arteta amesema hana mpango wa kwenda Madrid

Mikel Arteta on Real Madrid links: "I’m fully focused on what I’m doing here at Arsenal"
️
#AFC

"I’m extremely happy, proud and grateful to be at this football club".
#afc
 
Mashabiki wengi hasa wa manjesta hawajui mpira na hawajui kuuchambua ,timu yao ilikuwa form lakin Ina magepu kibao ,

7 hag atafata njia za kina ole watamtimua ,kocha unampima hata kwenye usajili, Ni mbahatishaji, ndio maana ilibidi akimbilie hasa pale pale Ajax kusajili ,Cha ajabu bado akapotea kwa kumsajili Anthony mchezaji ambaye alikuwa naye hapo hapo ajax, kamsajili yule beki ambaye kashindwa kuingia kikos Cha Kwanza ,sajili bora ni Moja tu Martinez ,sajili za Casemiro na eriksen ni za muda mfupi tu,

Kwa pesa ile aliyopewa namuona akufata njia za kina ole guna
 
Nyie arteta mmekaa nae misimu mingapi hapo hata uefa ajawai wapeleka akufukuzwa ila sisi hata kocha msimu ujaisha anataka afukuzwe waenga wanasema wivu umtesa anae uifadhi.

Punguzeni wivu sisi mashabiki wa man u tunamtaka Kwanini utusemee sasa.

Sisi ndo tutasema kama hatumtaki au Vipi kwa Sasa tunamtaka sana tu.
 
Hafu jamaa hamis pale England pana timu 4 kubwa.

Man city
Liverpool
Chelsea
Man United

Mbona hizo zingine uzizungumzii?
Nimekuja kujua bila kuizungumzia United mnakosa content kabisa yani fatilia post zako uwezi maliza siku ujaitaja United

Chelsea ni mbovu lakini ujawai izungumzia

Umekomaa na Manchester United tu kuwa makini nyuzi zako zikianza kufufuliwa hapa usije kuaibika.
 
Unapozungumzia Team kubwa una maana gani na unazitaja kubwa kwa misingi ipi mkuu!??
 
Manchester city na Chelsea are manufactured clubs bila funds za mabilionea tusingekuwa tunawaongelea leo na sijui wangekuwa wapi. Huwa nashangaa Shabiki wa United, Liverpool na Arsenal kubishana na shabiki wa Chelsea au Mancity, bila pesa hao wanarudi kuwa timu za kawaida regaldless of their 20 years archievements.
 
Mna moyo sana kukaa kwenye keyboard na kuwaelimisha πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Mimi nina expectations kubwa na Ten Hag he will get you somewhere. Tumpe muda
 
Hata hizi arsenal man united Liverpool pasipo pesa ni za Kawaida sana.

Kwa sasa unaposema timu kubwa England ni.

Manchester United/City

Chelsea

Liverpool

Arsenal

kuanzia 2000kushuka chini ningekujibu timu kubwa pale England ni hizi.

Liverpool
Man united
Arsenal
Newcastle
Blackburn

Hizo ndo timu zenye zilikuwa zikifahamika ni timu kubwa kwasasa kusema man city na chelsea sio timu kubwa nadhani ungetuambia labda maana ya timu kubwa kwa ufahamu wako ni zipi.
 
Tatizo hamtaki kuambiwa ukweli, kwa timu aliyoikuta na pesa alizopewa akazitapanya vibaya ,atafata njia za waliomtangulia ,form huwa inaficha mengi Sana,ila Mimi kwa uzoefu wangu na makocha waiopita epl na hapo man u ,ten hagg mtamtimua mapema Sana ,

Tulitegemea kwa timu aliyoikuta na pesa alizopewa ambazo klopp hata Arteta hawajawahi kupewa kwenye maisha yao ya ukocha ,Basi Angesajili talent ,Cha ajabu tunaona sajili za kubahatisha na mpira wa ujanja ujanja

Kuna imani mnajipa mnasema baada ya muda timu itakuwa hatari ,kiukweli mnajidanganya Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…