Arsenal (The Gunners) | Special Thread

We unadhani Niko serious🤣🤣🤣🤣
 
Arsenal uo mpira ungekuwa unawafaa toka enzi za Wenger mngekuwa hata na Uefa hata moja tatizo mnacheza mpira ambao mnaishi kwenda ueropa.

Hivi mmewai jiuliza kwanini timu yenu aina uefa hata moja miaka yote iyo na mmeishia kufika fainali moja tu?
Tupo Arteta Era mzee baba

Mbona hujiulizi pamoja na kumwaga mapesa yote toka aondoke fergi

Manyua mmezidi kuwa na character za timu ndogo
 
Kwanini useme walikuwa tayari mkuu? sio walitoa zikakataliwa uoni pana tatizo hapo?

Nasema tulikuwa tayari maana ofa zilitumwa sio kwamba ni maneno , shida mnaishi kwa mazoea

Tatizo lilikuwa wapi ,ukielewa tatizo Basi utelewa ambition za Arsenal ni zipi

Kwa Caicedo Arsenal ilikuwa tayari kufika hata £80m , tuliishia £70m coz walisema HAUZWI

Kwa Murdky Kuna issue had za siasa humo, ndio maana mchezaji hata huko aliko Hana furaha

Uzuri Arsenal tukimkosa mchezaji tuna option ,hatuna sera ya kubembeleza mchezaji
 
Man City Premier League points tally after 26 games in last 5 seasons…

22/23 - 58
21/22 - 63
20/21 - 62
19/20 - 54
18/19 - 62

Arsenal currently sit on 63 points after 26 games - the idea that Arsenal are top because Man City are underperforming is a false narrative
 
Naiyo ndo sababu Mpaka leo mmeshindwa kubeba Uefa na ligi kwa miaka 19 chaguo la kwanza ni la kwanza tu.

Ni maumivu kujificha kwenye chaguo la pili wakati la kwanza lilikuwepo.
 
Arsenal uo mpira ungekuwa unawafaa toka enzi za Wenger mngekuwa hata na Uefa hata moja tatizo mnacheza mpira ambao mnaishi kwenda ueropa.

Hivi mmewai jiuliza kwanini timu yenu aina uefa hata moja miaka yote iyo na mmeishia kufika fainali moja tu?
We umejiuliza kwann timu lako halina golden trophy??
 
Gabriel Jesus BACK in full Arsenal training ahead of the trip to Lisbon

Arteta set to decide whether or not to include him in the matchday squad tomorrow

God it’s good to have him back, time to build back that match fitness and take us to the title!
 
Arsenal would prefer to sign Martin #Zubimendi over Moises Caicedo in the upcoming summer window alongside midfielder Declan Rice.

#AFC tried to sign the Sociedad player in January before #Caicedo but he wanted to keep loyal to the Spanish club until the end of the season.
 
Eddie nketiah na Trossard wataendelea kukosekana sababu ya injury


Lakini habari njema Jesus amerejea


We have luxury squad

Smith Rowe,Nelson
 
Behind the scenes of Gabriel Jesus' return to full Arsenal training | @Football_LDN


All smiles at London Colney
Sprinting, twisting, turning, tackling
Sent flying to the floor as Arsenal players confident not to take it easy on the Brazilian
 
Umegundua nini

Most touches in the opposition box by a team in a single Premier League game this season:

Arsenal vs Bournemouth - 78
Arsenal vs Man Utd - 64
Man City vs Brentford - 62
Arsenal vs Nottingham Forest - 59
Man City vs Southampton - 56
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…