Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie hamna hela ya kumchukua huyo mchezaji usijidanganye.huyo anaenda Chelsea au Manchester United.
 
Nyie hamna hela ya kumchukua huyo mchezaji usijidanganye.huyo anaenda Chelsea au Manchester United.
Hatuna pesa ,wewe ndiwe unakaa na akaunt za Arsenal?

Mbona hujiulizi kwanini January Arsenal walikuwa tayari kutoa £70m+ kwa Caicedo na €100m kwa Mudrky

Bila hizo deals kufeli Arsenal walikuwa willing kutumia hizo pesa

Timu yetu tunaijua sisi ilipo na inapokwenda ,


Edu alisema kwasasa tunaenda level ambayo kwa msimu tutakuwa tunasajili mchezaji mmoja au wawili

Tumeshatoka kwenye stage ya kujenga timu tunaenda stage ya kuimarisha timu
 
Hii haiwez kupunguza mauimivu ya kupigwa 7-0
 
Manchester United Ndoo Timu Iliyopigika Vipigo Vikubwa Ndani Ya Miaka 3 Iliyopita



Manjesta 1-6 Tottenham
Manjesta 2-4 Liverpool
Leicester City 4-2 Manjesta
Manjesta 0-5 Liverpool
Watford 4-1 Manjesta
Man City 4-1 Manjesta
Liverpool 4-0 Manjesta
Brighton 4-0 Manjesta
Brentford 4-0 Manjesta
Man City 6-3 Manjesta
Liverpool 7-0 Manjesta

Takwimu Hazidanganyi
 
sio suala la kua tayari, hapo kinachozungumzwa ni suala la kutoa pesa.
Arsenyo miaka yote ipo tayari kutoa hata £200m za mdomoni lakini haina uwezo wa kununua mchezaji wa zaidi ya £80m.
Ukiona mchezaji yoyote mkubwa akihusishwa na Arsenyau mwezi mmoja au miwili kabla ya dirisha la usajili jua tu hio ni janjajanja inayotumiwa na wakala wa mchezaji ili kuongeza thamani ya bidhaa yake.
 
Mtamchukua nyie Basi tumalize hivo

Japo alisema hawezi kwenda unyumbuni
 
Yaya Toure on Partey - Yeah he’s brilliant, it’s really nice to see.

“I think now every weekend when Arsenal have to play, I have to be honest, I would go just to watch him.

“He’s just unbelievable.”

(@talkSPORT )
 
Mtamchukua nyie Basi tumalize hivo

Japo alisema hawezi kwenda unyumbuni View attachment 2541470
hata kama huyo Osimhen haji unyumbuni ila hapa tunazungumzia timu yenu chini ya Kroenke's haina jeuri ya kusajili mchezaji yoyote mwenye thamani zaidi ya £80m.
Nyie uwezo wenu ni kusajili kina Mwakinyo, kina Kwiyo na dizaini ya wachezaji wa hivyo.
Ukimuona mchezaji yoyote mzuri Arsenyo basi eidha ametokea Academy au wamepewa kwa hisani kama walivyopewa Jesus, Zinchenko au ni mchezaji alietimuliwa na kocha katikati ya msimu kutokana na utovu wa nidhamu.
 
Mpya mpya hii hapa.. ya moto moto, imetoka juzi tu hapo jumapili😂😂😂
 
Mchawi sana we jamaa, hangover ya goli saba inakusumbua wewe
 
Weka rekodi kamili. Kuna mechi moja ya Carling Cup tulikupga 6-1. Kina Kanu waliongoza maangamizi
 
Yaya Toure

Akihojiwa Na @talkSPORT


“Kwa Sasa Napenda Kutazama Mechi Za Arsenal Jinsi Wanavyocheza Wanavutia Kuwatazama Kila Weekend.Napenda Kumuangalia Thomas Partey Anavocheza "
 
Arteta mnamo 2019:

"Nataka kushambulia. Nataka kumtawala mpinzani. Nataka mpinzani acheze katika nusu yake na lazima niweze kuwaambia wachezaji kitakachotokea kabla hakijatokea."
 
Mikel Arteta will decide on Wednesday (today) whether Gabriel Jessus can return from injury to play a role in the Sporting Lisbon game on Thursday. ESR could start. Both Nketiah and Trossard unlikely to feature

[Tom Allnutt The Times]
 
Hapo kwenye line up tuna double 8/10 Odegaard na Fabio Vieira

Benchi la ufundi linataka kumu introduce Smith Rowe hapo anapocheza Fabio Vieira

Left no.8/10 kwasasa tuna Xhaka na Fabio Vieira

Fabio Vieira pia anaweza kucheza Right no.8/10 anapocheza Odegaard

Je unaionaje Arsenal yenye double 8/10 yenye Odegaard na Smith Rowe?

Spidi

Ufundi

Unyumbulifu



 
we jamaa unaroho ngumu sana, yakishirikina kabisa! haiwezekani mdundwe na bado unadunda,wewe ni nunda!
Tatizo watu mnasaau mpira ni burudani mnaona ni vita Kwamba mtu hakiwa timu nyingine ni adui yako ndo maana mimi napenda sana magroup ya michezo ya Kenya kuliko bongo,bongo watu utukana tu sio kutaniana.

Ukielewa ushabiki ni utani tu utasumbuliwa na chuki wala roho mbaya.
 
Mikel Arteta will decide on Wednesday (today) whether Gabriel Jessus can return from injury to play a role in the Sporting Lisbon game on Thursday. ESR could start. Both Nketiah and Trossard unlikely to feature

[Tom Allnutt The Times]
Namuona Smith Rowe akianza LW , Martinell CF ,Saka RW

Kwenye double 8 Xhaka na Odegaard

DM Gorginho Frelo


Jakub Kiwior atapewa nafasi
 
Kwanini useme walikuwa tayari mkuu? sio walitoa zikakataliwa uoni pana tatizo hapo?
 
Arteta mnamo 2019:

"Nataka kushambulia. Nataka kumtawala mpinzani. Nataka mpinzani acheze katika nusu yake na lazima niweze kuwaambia wachezaji kitakachotokea kabla hakijatokea."View attachment 2541692
Arsenal uo mpira ungekuwa unawafaa toka enzi za Wenger mngekuwa hata na Uefa hata moja tatizo mnacheza mpira ambao mnaishi kwenda ueropa.

Hivi mmewai jiuliza kwanini timu yenu aina uefa hata moja miaka yote iyo na mmeishia kufika fainali moja tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…