Kumbuka sio kila formation ina kila nafasi, kuna nafasi zingine zinapotea kulingana na formation na falsafa kocha anayotumia
Mfano 4-3-1-2 inatumia strikers wawili, CAM (CF) na CM watatu, hii formation haina wingers
3-4-1-2 inatumia strikers wawili, CAM (CF) na CM wawili na wing-backs, hii formation pia haina wingers
Halafu kumbuka kuwa CF sio official position, Hata AM sio ofocial positions kwa sababu AM ni too much general. kwenye mpira oficial position ni
GK, CB, LB, RB, LWB, RWB, CM, CDM, LM, RM, CAM, LW, RW, FALSE NO. 9, ST. (Nafikiri sijaacha nafasi muhimu. Zinazoongezeka kwenye hizi ni kuelezea tu nafasi zile zile kwa maneno mengine
Mfano
FOWARD - (CAM, Wingers, Strikers)
CENTER FOWARD (CAM)