Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Na bado watakata moto kuanzia April kama inavomtokea Newcastle United
 
According to ESPN, head coach Mikel Arteta is a huge fan of Ollie Watkins, with the Spaniard reportedly impressed by the Villa star's versatility to play across the frontline. #afc #coyg
 
Alipoulizwa kuhusu arsenal alipo na Chelsea alikotoka alikuwa na haya ya kusema....

Nilizungumza na Chelsea na ni kweli walisema sikuwa sehemu ya mipango yao,kiasi niliumia maani ni club niliyoizoea na pia nilitaka niendelee kufanya kazi nao...

Kuhusu arsenal...mpaka sasa siamini kama niko hapa nilitakiwa niwe hapa mapema zaidi nilichelewa sana ni club yenye mipango mikubwa sana kwa ndani alafu namna yao ya uchezaji inaendana na namna yangu ya uchezaji hivyo najihisi kuchelewa kufika hapa..
 

Attachments

  • FpRB8v_WAAE036o.jpeg
    93.7 KB · Views: 18
Atchana na Gabriel Jesus nitajie false9 Bora kama Trossard. Against Leicester City alifanya ufundi uliopitiliza anauwezo wa ku swept to the left halafu Martinelli anasogea Kati Banga! Kambaaaaa.. hapa opposition defenders wanashindwa marking na inakuwa rahisi kuwaadhibu.
 
Bukayo Saka has always been clear in the last year: no negotiations with other clubs, he only wanted to stay at Arsenal as he loves club, project, coach #AFC New deal agreed one week ago after 13 months talks — it will be signed once final details and documents are sorted.
 

Attachments

  • Fp_KzD2WIAMNIXl.jpeg
    35.4 KB · Views: 21

Attachments

  • Fp9ljBuXsAA4kTF.jpeg
    43.9 KB · Views: 16
Mwanitesa united fan
 
Niambie kitu kingine "cha maana" aliwahi kushinda huyu akiwa kocha na miaka yote aliyocheza. Ukimtukuza huyu sijui Mourinho, Klopp, Tuchel wafanye nini sasa.
Arteta baadoo anasafari ndefu sana, hana uzoefu hata wa miaka mitano kwenye swala la ukocha mkuu,, ila mpaka sasa ni tishio sana kwa kizazi cha mpira wa kisasa

Ligi ya Uingereza ni ngumu sana, muulize Steve G, muulize sasa Patrick Viera.

Sisi tutapebaba tu hayo na tunaelekea uko.

Arsenal chini ya Arteta Mikel tutachukua
Premier 3.
Uefa 2.
Europa 1.
Fa 3.
Badae ataenda Barcelona au Madrid.

Mnaumia mkiwa wapi
.
 
Tunakumbushana Martinelli ni moja ya mafundi boli pale EPL sisi mashabiki wa Arsenal tunajivunia. Pulled out Messi Technique against Leicester City halafu pale Matofali ya kuchoma mchezaji anazunguuka kama Rose Mhando anajiona fundi..
 
Niambie kitu kingine "cha maana" aliwahi kushinda huyu akiwa kocha na miaka yote aliyocheza. Ukimtukuza huyu sijui Mourinho, Klopp, Tuchel wafanye nini sasa.
Kweli ww ARV zinakusumbua ,kwani Klopp ,mou as maplayer wameshinda Nini?

Arteta ndio ana miaka 3 kwenye career ya ukocha na anaenda kuwa tishio

Ungeleta mafanikio ya kocha wako ambaye ni mkubwa hata kwa Pep
 
Kama kuna kazi ngumu waliopata Leicester ni kupiga shuti kuelekea golini kwetu.

Hawakupata kona na shuti halizidi 1 na lenyewe ni nje ya lango.

Arsenal tulipiga kona 8. Passes 600+.

Tazama hapa.

Arsenal ilikuwa na wachezaji wa 4 tu wanaokaba, ndani ya sekunde 3, wakarudi wote na kuwa 10.

Ili ufanye hivi unahitaji kuwa na kocha mwenye akili wachezaji vijana na wanaofundishika.

Thus why wachezaji Kama Auba ,ozil ,Pepe walioneshwa mlango wa kutokea
 

Your first sentence should be rephrased to read, “Bukayo Saka has always been loyal……
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…