Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Na pia yupo physically fit kwa ushindani wa epl.
 
Mikel Arteta on Arsenal’s win vs Leicester:


“I think defensively we were incredible because we restrict Leicester to one shot on target in the whole game at home is a difficult thing to do. The players did really well.”


@arsenal
 
Mimi ninachosema ni kwamba bado hatuna wachezaji wa kucheza 4 3 3 kwa 100%. Sisemi kwamba 4 3 3 ni butu, with players ambao hawafit inatufanya tupossess mpira ila hatuwi lethal.

Refer game na City, Everton na Brentford na jana. Sasa hivi hata xG imepungua, with Jesus tukicheza 4 3 3 haina tatizo. With Nketiah tunacheza kamari
 
Acha uongo, Arsenal kaanza kutumia double 8 msimu jana 2nd round

Wewe endelea kupiga ramli na kusubiri Gorginho akosee useme ulisema

Kwasasa tafuta vichaka maana mnaaibika
Ushamuingiza Jorginho kwenye hizi ishu?
 
Chochote ninachoandika ukikuta kipo online kimeandikwa na pundit yeyote au kimesemwa na yeyote rudi hapa nitag naondoka jf.

Haipindui ukweli kua hujui kitu hata utukane mpaka baadaye.
 
Chochote ninachoandika ukikuta kipo online kimeandikwa na pundit yeyote au kimesemwa na yeyote rudi hapa nitag naondoka jf.

Haipindui ukweli kua hujui kitu hata utukane mpaka baadaye.
Ukiondoka jf itanisaidia nini? Uwepo ama usiwepo hilo sio tatizo langu. Muhimu kaa chini akina Hamisi wakupige pindi. Halafu hakuna mtu amekutukana. Acha kujitafutia piblic sympathy

Andika utakachoandika/write whatever your write
 
Piblic ni nini boss?
 
Mbona mapovu humu, kulikoni?..... watu munaongoza ligi lakini hamjiamini.
 
"Kufika au kutofika kwako hakutazuia sisi kuchukua kombe"
 
🗣️Pep Guardiola after #Arsenal and Manchester City both won yesterday:


“I know how good Arsenal are, I know we cannot drop points, but now they are starting to play Europa as well. Many things are going to happen. They are going to drop points. We are going to drop points. The team who drop less points will be champions.” 💯👍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…