Nataman sana kuona jinsi Martinell na Trousaad wanavyo rotate kwenye iyo nafasi, ila ndo nipo mbali kidogo na TV mwenye App nzuri ya kucheki game tafadhali anisaidie
Wakumbushe na hii, halafu mtu atakae guna mtie konzi la utosi.
Tulivyo wagonga 3-1 walisingizia walikunywa chai bila Chapartey, ila wao walivyobahatisha kutufunga 3-2 wanajifanya kujisahaulisha kutokuwepo kwa kiungo bora kabisa duniani kwa sasa Carlos Henrique Casimiro.
Hawa kima natamani sana tukutane nao tena Europa tuwashone midomo yao.
Haiwezekani hili jukwaa likapoa namna hii tena siku ya mechi, Aaron Arsenal kama vipi tupia namba ya simu ili wadau tuchangie walau bukubuku ununue hata Tecno ili uendelee kutupia update za motomoto.
nyie arteta mwaka wa ngapi huu hata uefa mjawai gusa sisi kocha mwaka wa kwanza tu tupo tunagombania nafasi za juu juu tu Wakati arteta msimu wa kwanza kama saizi yupo nafasi ya 7 huko.
Sikia kaka, united ni kubwa kuliko arsenal hatupaswi kubishana nao, na msimu huu bado safari ni ndefu na naamin tunamaliza juu yao kwenye league....hawa watabadilika negatively......kinawapoza midomo, jeuri, fedhuri na kiburi
Nataman sana kuona jinsi Martinell na Trousaad wanavyo rotate kwenye iyo nafasi, ila ndo nipo mbali kidogo na TV mwenye App nzuri ya kucheki game tafadhali anisaidie