Hivi wewe jamaa unakaaga kwenye jukwaa lako kweli?Michezo ya wanaume hio, hawa wavulana msimu ujao wataendelea kubanana humohumo kwenye Europa.
Uefa inahitaji wanaume waliokomaa Pumbuh sio hawa watoto wapaka poda.
Huku kuna mpira. Kule kwao wamejaa panya road na kawaida ya panya road ni kutangatangaHivi wewe jamaa unakaaga kwenye jukwaa lako kweli?
Integrity ya Waungwana hupimwa kwa kauli zao. Wewe siyo miongoni mwao.Michezo ya wanaume hio, hawa wavulana msimu ujao wataendelea kubanana humohumo kwenye Europa.
Uefa inahitaji wanaume waliokomaa Pumbuh sio hawa watoto wapaka poda.
duuuuuuhJersey za msimu wa 2023/2024
BEI…25000
0788929673
Ni takataka bado tunasema.Gorginho waliomponda Bado msimamo wenu upi?
Sasa hivi aibu naona Mimi mkuuGorginho waliomponda Bado msimamo wenu upi?
Ebhana uyu jamaa arudi tu aiseeMancity akikaa kileleni hatoki Tena
Cha ajqbu msimamo unaonesha Arsenal kwa point 2 na kiporo juu
Haters matarajio yao ilikuwa kuumia kwa Jesus tugombee top 4 Cha ajabu Jesus anarudi timu bado ipo kileleni
Kifupi Haters wamefeli
Smith Rowe vipi?Jesus pia mzima anataka kucheza ,klabu imesema asubiri kidogo
alimaliza kinara wa kundi.. anasubiri play offs round of 16.. izi zinazochezwa saiv ni play offs za wale waliomaliza nafasi za pili kweny makundi EUROPA league na wale waliomaliza nafasi za tatu kwenye makundi UCL.Sielewi ratiba ya Europa kwa Arsenal imekaaje mbona hachezi
Wanaocheza Sasa ni wale tunasema vilazaSielewi ratiba ya Europa kwa Arsenal imekaaje mbona hachezi