Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nadhani lile goli lilimkosesha usingizi jana
Nasikia jamaa amekuwa mhuni siku hizi. Mpoteza muda na mkorofi mpaka kapewa kadi. Na ni kama amekuwa na chuki juu yetu. Like goli linachukuliwa kama poetic justice Kwa uhuni wake tena dk za mwisho
 
Mnapenda ushindani nasi wakati sisi hatushindani na nyie.

Ushindani wetu ni dhidi ya City. Nyie hamna jipya. Tushawagonga. Tuna deni na City tu.

Kwahiyo punguzeni matarajio.
Mnataka ubingwa na Man u inataka ubingwa na hapo ndio ushindani ulipo na kama unaamini Man city ndio mshindani pekee kisa mnaizidi Man u points 5+3 kwa epl hizo ni points chache sana .
 
Mnataka ubingwa na Man u inataka ubingwa na hapo ndio ushindani ulipo na kama unaamini Man city ndio mshindani pekee kisa mnaizidi Man u points 5+3 kwa epl hizo ni points chache sana .
Epl 5+3 ni chache??? Hahaha aiseee ivi unaijua EPL vizuri kaka
 
Epl 5+3 ni chache??? Hahaha aiseee ivi unaijua EPL vizuri kaka
Basi wewe ndio huijui epl. Msimu uliopita kuna kipindi Man city alikuwa amemzidi liverpool points 14 ila ubingwa ulipatikana mpaka mechi ya mwisho kwa tofauti ya point 1.

Pia kwa hapo zamani kidogo gape hilo hilo la points 8 kuna timu iliwahi kukosa ubingwa au ilibaki kidogo ikose kama sikosei ni kati ya man u na man city. Punguzeni matarajio pia na kumuona man city ndio mpinzani pekee.
 
Kwenye point yako ya kwanza, umesema bingwa alipatikana kwa tofauti ya pointi moja, sasa 5-3 zitakuaje chache sasa.
 
United wapo kwenye kinyang'anyiro cha ubingwa mimi na amini hili pia."Arsenal fan" points hapo ni tano tu hizo tatu hazihesabiki kwa sasa kwakua hatujacheza.kimahesabu huwezi kuiondoa united kwenye kushindania ubingwa,tumeona mechi tatu tu ambazo arsenal ameteleza zimeongeza title contenders.
 
We jamaa acha mambo za ushoga bc

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…