Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sijacheki gemu wakuu, performance ya timu mmeionaje? Zile individual errors bado zipo?
Zipo au niseme errors zinafanywa na system.

Goli la pili ni matokeo ya hizo errors.

Chances za kushuti walizopata ni matokeo hayo.

Xhaka alikua vulnerable mno.
 
Martinez haipendi Arsenal

Sisi na yeye uhusiano wetu umekua wa mtu na mpenzi ambao wameachana kwa kisasi.

Baada ya 2-2 akawa anaoverdelay mpaka akapata yellow, akiwa ana hamu ya kuhakikisha poetic justice inatendeka akaenda mbele muda wa kona kusaidia mashambulizi ili Villa ipate suluhu, hii ikawa a blessing in disguise na ikatupa goli la nne.

Hata hivyo bado naamini tunatakiwa kurudi kwenye 4 2 3 1
 

I agree
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…