Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nimepitia page ya Arsenal ya Instagram keuelekea mchezo wao na Man City comments za mashabiki wa Arsenal zinachekesha sana. Mashabiki wanajamba jamba tu muda huu kumuogopa kipara 🤣🤣
 
UNAOTA!!
 
Yani wewe hujionagi km huna akili, obsession yako kwa Arsenal imevuka mipaka, toka msimu umeanza unandika ngojera zako lakini hujifunzi, City atafungwa leo kesho utaandika ngonjera tena, tushakuzoea km mwanamke vile.
Kwa hiyo wewe unashabikia timu haijachukua hilo kombe miaka 21 na haijawahi kuchukua UCL ndio una akili?
 
City siku hizi kwa uwepo wa haaland imekuwa timu ya counter, yaani wana hatari zaidi kwenye transition moments, najua wazi leo tunaenda defend thru settled play kuwanyima chance ya kushinda, very difficult kwa City kucreate chances uki organize defence yako, ikiwa tutashindwa contol transition basi tutafungwa. Arteta masterclass
 
4 2 3 1 inakupa chansi ya FBs kuoverlap. Inakupa chansi ya kudisarray hii man marking ya wings.

Inakupa chansi ya kufanya transitional movements at the same time unakua na ulinzi katikati.

Tumeshinda games zetu za round ya pili msimu uliopita na ya kwanza msimu huu kwa 4 2 3 1 tumeanza iadopt 4 3 3 na tunaonekana tunastruggle kuifanya iwe effective. White siyo mzuri wa krosi kiasi ukamtegemea kwenye attacking, Zinchenko hafanyi overlapping kama Kieran.

So nafikiri kila tunapocheza 4 3 3 actually tunabet zaidi kuliko kua na uhakika na tunachofanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…