Rogers luyangi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 552
- 948
Mechi ya kesho tunashinda! Japo itakuwa mechi ngumu sana!Pep alikua anajibu swali kutofautisha uchezaji wa City na Wa Arsenal akasema City wanapitia katikati wakati Arsenal tunapitia pembeni na kweli tukiangalia timu yetu baada ya maneni yale timu kama zimetujulia zinakaa nyuma zinatuacha hasi kwenye final third wanakaba nafasi za pembeni mambo yanakua magumu kiukweli mechi ya kesho tubadilike tuliona mechi ya FA, AKE alikua anatembea na Saka angalau odegard akuwepo kwani wote huwa wanaenda pembeni waki alternate na kukabika inakua ngumu ila tusubiri tuone yote kwa yote Arsenal tutashinda mechi ya kesho
Arsenal ndooThey are bunch of cowards wanaoshangilia matokeo tu timu ikianza kuyumba yanajificha kwenye shamba la karangayaani yanaongoza point 3 na mechi mkononi ila hayajiamini kuna yule Mjapan wa "Arsenal ndoo" "Haaland kiatu" naye haonekanihamna kitu hapa wapigwe tu
Mwaka huu kwenye ligi huchukui point hata moja kwa Arsenal..Wanasubili watufunge ndio waje kuandika paragraph humu
Mechi mnazomuwekea Nketia Matumaini hua haziwez ila mechi ambazo kila mmja anaona hapaswi kuanza ndo hua mkombozi wetu, na hili litajirudia kesho.NKETIAH ni vema aanzie Bench kesho aanze TROSSAD,mechi ya juzi NKETIAH alikuwa anarukaruka tu
Mbona kinyonge mkuu? Hamjiamini kama mnaweza kunyanyua kwapa mbele ya kipara?Arsenal ndoo
Halaand kiatu..
Mda utaongea
Nimeangalia mechi zenu tatu zilizopita Martinel amefail, Saka amefail. Saka anajiona star hakabi anasimama kule pembeni anasubiri apelekewe mipira, shida ni timu haina namba 7 mwingine makini ambapo Saka akizingua anatolewa faster kwa hiyo anarelax anajua hamna cha kumfanya. Tafuteni option nyingine. Kwani hamna hata watoto wa academy huko muwapandishe!!Pep alikua anajibu swali kutofautisha uchezaji wa City na Wa Arsenal akasema City wanapitia katikati wakati Arsenal tunapitia pembeni na kweli tukiangalia timu yetu baada ya maneni yale timu kama zimetujulia zinakaa nyuma zinatuacha hasi kwenye final third wanakaba nafasi za pembeni mambo yanakua magumu kiukweli mechi ya kesho tubadilike tuliona mechi ya FA, AKE alikua anatembea na Saka angalau odegard akuwepo kwani wote huwa wanaenda pembeni waki alternate na kukabika inakua ngumu ila tusubiri tuone yote kwa yote Arsenal tutashinda mechi ya kesho
Duuuhuu,, mku hivi pale man u,, nani atamuweka saka njee kwenye ile positionNimeangalia mechi zenu tatu zilizopita Martinel amefail, Saka amefail. Saka anajiona star hakabi anasimama kule pembeni anasubiri apelekewe mipira, shida ni timu haina namba 7 mwingine makini ambapo Saka akizingua anatolewa faster kwa hiyo anarelax anajua hamna cha kumfanya. Tafuteni option nyingine. Kwani hamna hata watoto wa academy huko muwapandishe!!
Smith is a goodplayer but Ørdegard is a bestplayerTulisema humu ndani kuwa ukiondoa majeruh smith ni mzuri kuliko odegard sijui arteta alilewa nini kumpa ukapten yule dogo
Bwana Castr unakubaliana na mawazo haya...Tulisema humu ndani kuwa ukiondoa majeruh smith ni mzuri kuliko odegard sijui arteta alilewa nini kumpa ukapten yule dogo
Hujui bolu, smith anakuofa vitu vingi kuliko odegardSmith is a goodplayer but Ørdegard is a bestplayer
Hapana. Smith kwa sasa hamfikii Odegaard
Smith ni dribbler mzuri na ana skills ila hana positioning na know how ya OdegaardTulisema humu ndani kuwa ukiondoa majeruh smith ni mzuri kuliko odegard sijui arteta alilewa nini kumpa ukapten yule dogo
Mkuu kwani odegaard anapelekewa moto?