Kuna mchezaji wa Sparta kajitangaza ni shogaMmeanza kulialia mnataka point za mezani!!!
Bado tu ødegard kujitangazaKuna mchezaji wa Sparta kajitangaza ni shoga
Ulishammega Odegaard? Au amewahi kukutaka?Bado tu ødegard kujitangaza
View attachment 2516446
Mkuu kwani odegaard anapelekewa moto?Bado tu ødegard kujitangaza
View attachment 2516446
Nini alikua anafanya huyu?View attachment 2516479
Wanasubili watufunge ndio waje kuandika paragraph humuUzi hautembei tena majitu yamejificha kwenye mashimo. Why do I smell fear among the individuals of this thread?
yani mnaongoza kwa pints 3 na mchezo mkononi lakini mmekaa kinyonge hivyo?
They are bunch of cowards wanaoshangilia matokeo tu timu ikianza kuyumba yanajificha kwenye shamba la karanga🤣 yaani yanaongoza point 3 na mechi mkononi ila hayajiamini kuna yule Mjapan wa "Arsenal ndoo" "Haaland kiatu" naye haonekani🤣🤣🤣 hamna kitu hapa wapigwe tu🤣🤣🤣Wanasubili watufunge ndio waje kuandika paragraph humu
Uzi wenu hata watu wa kuutembelea hawapo mnakesha kwenye nyuzi za watuWanasubili watufunge ndio waje kuandika paragraph humu
Mechi ya kesho tunashinda! Japo itakuwa mechi ngumu sana!Pep alikua anajibu swali kutofautisha uchezaji wa City na Wa Arsenal akasema City wanapitia katikati wakati Arsenal tunapitia pembeni na kweli tukiangalia timu yetu baada ya maneni yale timu kama zimetujulia zinakaa nyuma zinatuacha hasi kwenye final third wanakaba nafasi za pembeni mambo yanakua magumu kiukweli mechi ya kesho tubadilike tuliona mechi ya FA, AKE alikua anatembea na Saka angalau odegard akuwepo kwani wote huwa wanaenda pembeni waki alternate na kukabika inakua ngumu ila tusubiri tuone yote kwa yote Arsenal tutashinda mechi ya kesho