Nilisema haya maneno kabla ya mechi !!!
Top six sijui tuna gundu, mechi za mchana sio rafiki kwetu !
Timu mliyocheza nayo ina kocha mpya vijana Wana morali !
Anyway tumepata jinga la wiki !!!!
Granit, martineli, ben white na ode naona kiasi wamewaangusha, hawakuwa na game nzuri !
Nilifikiri angemtoa Granit aingie jorg lakini kamtoa partey , anyway kocha na benchi lake wanajua kuliko sisi !