Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Hata 80 au 100 walishasema hauzwi ELEWA HiloTatizo lenu nyinyi hua mnadharau na kupenda kulianyau sana.
Mwanzo kabisa mnapeleka offer yenu ya eftatu, Brighton waliwakatalia na kuwaambia kua hawana mpango wa kumuuza, na endapo wakiamua kumuuza haitakua chini ya £80m.
Hamjakaa sawa eti mnapeleka offer nyingine ya eftatu mia tano kama sio dharau ni nini?
Trossard mmepewa kwa bei ya hisani baada ya kutofautiana na kocha wake, laiti mngekua wastaarabu mngewapa tu hio £80m mkamaliza biashara.
Ule ujinga uliofanyika kwenye offer Mudryck ndio ujinga huohuo mmeurudia tena kwenye offer ya Caicedo.
Wanasema wanataka kucheza michuano ya ulaya
Issue ya Mudrky tuliweka pesa sawa na waliyoweka Chelsea
Shakhtar wanasema Tulianza KUONGEA na mchezaji kabla yao
Pia Kuna siasa humo , Chelsea ataenda kucheza nao mechi ya hisani
Hata salary aliyoweka Chelsea inatofautiana na ya Arsenal £10k TU