Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Lokonga ndio maana amepelekwa hapo hapo EPL Kuna vitu ana mis ,na timu kwasasa haina muda wakumsubiri tunahitaji kupigania Epl sio kwa kubahatishaKwamba Lokonga sio mchezaji? Guys labda mimi sijawahi kuujua mpira, hata Xhaka kuna kipindi tulisema ni shyte tu, leo hii kila mtu kimya. My opinion is, Lokonga ji bonge la mchezaji, bado kijana ndogo na anajifunza, huenda akibadilishwa namna ya uchezaji akawa vizuri zaidi.
Labda utoe aspects za kimpira kunijibu, otherwise naona hate tu kwa dogo.
Toa sababu za kiufundi mkuu. Lakini kumbuka kila mtu anasema usajili wa January ni mgumu coz hakuna timu inataka kuharibu mipango yake katikati ya msimu.Great deal? Maybe sababu ni Bora kuliko Wale mizigo yaani Elneny na Lokonga.
Great deal sababu at least amesajiliwa mtu kuliko tusingesajili kabisa.
Ila kutoka kwenye kumsajili zubimendi/Caceido/Rice Hadi kumsajili Jorginho imeonekana ni failure.
Wewe nimekuzoea uliwahi sema Felix hafai kwenye mfumo ila ukaja kupost humu kuwa tunamfukuzia. Ulidai tunamsajili Danilo ila ghafla akapotezewa. Uliwahi sema Lokonga kaletwa kama back up ya Partey Leo unadai eti hakuja kama DM.Huna akili kumzidi Arteta aliyetengeneza competitive team ,leo umpangie Nani amsajili Nani asimsajili ,nasema huna unachomzidi Arteta
Wachezaji na Staff wamefurahi ujio wake , wewe endelea kulalamika
Wewe endelea kupinga pinga maana ndiyo jadi yenu ChademaWewe nimekuzoea uliwahi sema Felix hafai kwenye mfumo ila ukaja kupost humu kuwa tunamfukuzia. Ulidai tunamsajili Danilo ila ghafla akapotezewa. Uliwahi sema Lokonga kaletwa kama back up ya Partey Leo unadai eti hakuja kama DM.
So siwezi bishana na wewe maana ni mouthpiece ya Arteta hauna objectivity yoyote kwenye uchambuzi una bias eti kisa Arteta!!
Wewe nilikwambia hatuna depth ya LCB ukanitukana weeee mbona Sasa wamesajili LCB? After all tulimfukuzia RB yule Fresneda.Leta maoni yako uliyotoa ,
Lokonga alisajiriwa Kama mchezaji potential ,Ni kawaida kutofikia
Arteta na Edu maamuz na sajili zao wamefanikiwa kwa 80%, usijipe umuhimu usiokuwa nao
Mimi nishaacha kukujibu maana huna ujualo, tulikwambia LCB sio Kipaumbele Kama LW , na DMWewe nilikwambia hatuna depth ya LCB ukanitukana weeee mbona Sasa wamesajili LCB? After all tulimfukuzia RB yule Fresneda.
Mimi niliongelea Hilo suala October mkadai sijui lolote mara Kuna combination sijui Tomi ni LCB mara hatuhitaji RB maana tuna White na kelele kibao.
Sasa mbona wamesaji LCB January? Means niliona tatizo kabla ya nyie mashabiki uchwara. So huyo Arteta sio malaika kwamba anajua Kila kitu otherwise asingefukuzia RB na LCB January instead of last August when the problem was imminent!!
Nilie ya Nini Sasa? Kwani mara ngapi umeumbuka humu. Hakuna kitu nimewahi sema kikabugi humu.Wewe endelea kupinga pinga maana ndiyo jadi yenu Chadema
Cry more
Jorginho atavaa jez no.20
Wachezaji na Staff pamoja na Arteta wamefurahi ,anajiandaa na mechi Jumamosi Vs Everton
Cry more ,sitakujibu Tena
Kwangu mimi naona arsenal kalamba dume.
sababu inaonifanya kwangu nione arsenal kalamba dume kwa jorginho kwanza jamaa ukicheki record yake ya misimu iliyopita alikuwa moja ya viungo bora ulaya iweje leo ashuke mapema hivi.
hapa tuseme tu na motisha ya timu ya chelsea kwa wachezaji imeshuka sana joginho watu wana mtupia lawama za bure tu.
Nachojua arsenal kwasasa timu motisha yake ipo juu inaweza kusaidia kupush kuludi kiwango cha jorginho yule wa misimu miwili iliyopita.
hapa tunaweza kusema muda ndo mwalimu mzuri kwangu naona kwa arsenal ilivyo saizi jorginho ni mchezaji sahihi kabisa.
Ok nimeumbuka , mbona unanifatilia SasaNilie ya Nini Sasa? Kwani mara ngapi umeumbuka humu. Hakuna kitu nimewahi sema kikabugi humu.
Danilo uliumbuka
Ujio wa Kiwior uliumbuka
Kumfukuzia Fresneda uliumbuka
Felix uliumbuka
Lokonga uliumbuka
So hakuna ulilowahi debate na Mimi ukafanikiwa. So nshakudharau kitambo tu. Tokea jukwaa la intelligence ulikua na ubishi wa KISABATO wakati ulikua hujui lolote kuhusu bible.
Angalia comments za watu about you wote wanakuona delusional. JITAFAKARI
Nawashangaa humu, haohao waliokua wanamtukana Tambi za Ukonga sasa hivi wanalalamika kwa nini ameondoka?
Halafu haohao wanakubali kua Jojinah yupo vizuri kuliko Tambi kisha haohao wanalalamikia usajili wa Jojinah.
Hawa ndio mashabiki wa Arsenyani tunaowajua sisi
Hii inakuwa Ile vita ya panzi faida Kwa kunguru. Hapo Manchester United wanafurahi sana maana wataona nafasi ya kuipambania nafasi ya 2.Pep inasemekana hapatani na Bernado ,kama ilivyo kwa Cancelo ambaye amesepa
| BREAKING: Bernardo Silva has decided to leave Manchester City, like João Cancelo! He wants to join FC Barcelona NOW.
@gerardromero []
Pep pia anapungukiwa nguvu kwenye tittle runHii inakuwa Ile vita ya panzi faida Kwa kunguru. Hapo Manchester United wanafurahi sana maana wataona nafasi ya kuipambania nafasi ya 2.
Naona kabisa Summer Pep akipitisha fagio na kuleta wachezaj wengine sio kama 3-5Pep inasemekana hapatani na Bernado ,kama ilivyo kwa Cancelo ambaye amesepa
| BREAKING: Bernardo Silva has decided to leave Manchester City, like João Cancelo! He wants to join FC Barcelona NOW.
@gerardromero []
Tetes zinasema ataleta watu wakutosha ,kina Gundo wote anawaondoaNaona kabisa Summer Pep akipitisha fagio na kuleta wachezaj wengine sio kama 3-5