juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,976
- 5,463
Kvara n OsimhenAlafu angalia katokea ukraine huko ,,,,,
Njoo kwa Chelsea wanaenda toa £120m kwa enzo
Soko limekuwa gumu, ukichemka wenzio wanalipa hela ,,,,
Summer Napoli watafanya biashara nzuri Sana wakiamua kuuza baadhi ya stars wao !!!!
Unaweza kuspend big na bado usifapate mafanikio, wachezaji wengi ni average tu sema uhitaji wa club kubwa ndio unafanya soko liwe gumu. Mchezaji mzuri ila not so proven unamnunua kwa 100m, then aki-flop ni hasara kubwa.Haya na hio £70m yenu tayari imeshakataliwa mshamove on?
[emoji23][emoji23][emoji23] nilishawaambia sasa hivi hizo bargains zenu za kulialia haziwasaidii kitu soko limeshabadilika tayari.
Toeni hio £80m chap ili mjihakikishie kuwepo kwenye top4, dirisha likifungwa bila kusajili MF Europa inawahusu tena msimu ujao, hamuwezi kutoboa kwa kutegemea Zambi za Lukonga kama mbadala wa Thomas Chapati.
Will Jr pamoja na mapepe yake lakini alishakubali Caicedo potential yake ina deserve £80m Arsenyani msijivutevute hamtajuta kamwe. View attachment 2499970
Miaka imeenda na soka limebadilika, hivi viwango wanavyonunuliwa navyo wachezaji haviwezi kuendana na uwezo wa mchezaji kamwe.Morinho aliwahi kulisema hili, wachezaji wamekuwa so overpriced, thamani yao na bei sokoni haviendani hata kidogo. Mudryk kununuliwa kwa 89 ni ghali sana, basi tu michezo imekuwa biashara kubwa kuliko.
@Flano njoo uone msimamo huku wamekutoa ata Top four wakati wewe unautaka ubingwaMsimamoi wa ligi hadi may 2023
- City
- Arsenal
- Newcastle
- Chelsea
- Man U
- Spurs
Washazoea wachezaji wao wa mafungu toka enzi za Mzee Wenger.Haya na hio £70m yenu tayari imeshakataliwa mshamove on?
[emoji23][emoji23][emoji23] nilishawaambia sasa hivi hizo bargains zenu za kulialia haziwasaidii kitu soko limeshabadilika tayari.
Toeni hio £80m chap ili mjihakikishie kuwepo kwenye top4, dirisha likifungwa bila kusajili MF Europa inawahusu tena msimu ujao, hamuwezi kutoboa kwa kutegemea Zambi za Lukonga kama mbadala wa Thomas Chapati.
Will Jr pamoja na mapepe yake lakini alishakubali Caicedo potential yake ina deserve £80m Arsenyani msijivutevute hamtajuta kamwe. View attachment 2499970
Wazee wa kuedit...! Ngoja tuone mwisho wake utakuaje
Wanakaza ila wanaonesha dalili ya kumuachia kwa mbaliiiii, ofa ya tatu ya Arsenal kama wakipeleka hawez kuchomoa[emoji599]Arsenal remain interested in Caicedo despite two bids being rejected. Brighton consider the case closed but have looked at replacements as per normal scouting process
(@David_Ornstein)
Siyo kwamba tunamkomaza huko 2 seasons arudi moto. Saliba case.BALOGUN TUTAMUUZA BEI NZURI
Folarin Balogun (21) tonight scored a last-gasp equaliser vs PSG - his record in Ligue 1 so far:
19 games, 11 goals, 2 assists. Starboy.
Balogun kwa bei za Brighton / Shakhtar Donesk andaa £70m with add ons.[emoji3]BALOGUN TUTAMUUZA BEI NZURI
Folarin Balogun (21) tonight scored a last-gasp equaliser vs PSG - his record in Ligue 1 so far:
19 games, 11 goals, 2 assists. Starboy.
Ngumu kupata Nafasi kwa jinsi Arsenal inavyokuwq na Demand inavyokuwa kubwaSiyo kwamba tunamkomaza huko 2 seasons arudi moto. Saliba case.
Nilikuwa nawaza aje kuwa back up ya akina Jesus na Nketiah. Lolote laweza tokea.Ngumu kupata Nafasi kwa jinsi Arsenal inavyokuwq na Demand inavyokuwa kubwa
Tumelia wapi , Mchezaji tumemuheshimisha ofa ya Kwanza £60m fixed , ya pili imefika £70m unasema tunalialia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi inajulikana wazi dirisha hili hatuna hela pesa yote imetumika kwenye dirisha kubwa.
Nyinyi uswahili wenu wa kulialia bei umezidi mpaka baadhi ya club hawataki kuletewa offer na nyinyi.
Mnalia sana nyau ndugu zangu mpaka mmefikia hatua ya kuidhalilisha tasnia ya mpira duniani.
#Lialia Fc
Atakosa Nafasi ya kucheza ,Maana Nketiah kuwa backup tu Nafasi kwake had asubiri FA na CarabaoNilikuwa nawaza aje kuwa back up ya akina Jesus na Nketiah. Lolote laweza tokea.
Ila nawatahadharisha Caicedo asijekuwa kama Bissouma tu pale spurs.....Tumelia wapi , Mchezaji tumemuheshimisha ofa ya Kwanza £60m fixed , ya pili imefika £70m unasema tunalialia
Kuwa serious Basi ,
Kwa mudrky tulifika €95m-€100m unasemaje tunalialia ?
Nyie mlitumia hela ovyo €100m kumnunua Mchezaji wa YouTube , yule Ni wa €40m TU
Sasa Hivi mtaanza kulialia majeruhi, kikosi kidogo
[emoji599][emoji3582]| Manchester United remain unlikely to make any further additions this month beyond signing Wout Weghorst on loan.
[@David_Ornstein]
Nami nakukumbusha pia Arteta sio Conte.Ila nawatahadharisha Caicedo asijekuwa kama Bissouma tu pale spurs.....
Hizo roho mbaya Sasa, halafu Bissouma na caicedo Ni wachezaji profile tofautiIla nawatahadharisha Caicedo asijekuwa kama Bissouma tu pale spurs.....