Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ataumia tena, injuries are looming after him
Muombeni Mola sana awasaidie, na dili la Caicedo ndio hilo limefika mil 90 Sterling Pound
Unapiga ramli aumie? Game zaidi ya 20 amekosa mechi 3 au 2

Endelea kuomba aumie huenda tukashuka had nafasi ya 10

Mlisema hivo hivo kwa jeraha la Jesus ,had Sasa anakaribia kurudi tupo vile vile
 
Unapiga ramli aumie? Game zaidi ya 20 amekosa mechi 3 au 2

Endelea kuomba aumie huenda tukashuka had nafasi ya 10

Mlisema hivo hivo kwa jeraha la Jesus ,had Sasa anakaribia kurudi tupo vile vile
Nimesema wapi hivyo badala yake nimewaambie muombe
 
ARTETA ANATAKA KUTENGENEZA TIMU YA KUSHINDANA KWA MIAKA MITANO HADI SITA

Tunaelekea kwenye Phase ya mwisho ya Project(THE ARSENAL WAY) ambayo Kikosi Cha Kwanza na Cha 2 vinakuwa vinakaribiana Quality

Summer anaondoka HOLDING, ELNENY NA LOKONGA ANATOLEWA MKOPO




Arsenal will launch Declan Rice move in the summer even if they sign Moises Caicedo

Arsenal's move for Rice could be worth around £70m

(@SamJDean )
 
Hamna uwezo wala jeuri ya kujenga project ya muda mrefu
Anceloti anamtaka Bukayo Saka his dream team
Kwa vijisenti hivyo m,navyotoa aisee mjenge team A na B yenye quality sawa
Waulize city wametumia kiasi gani kujenga team A and B zinazolingana
Pesa ndefu baba, bila hiyo msijigambe hata kidogo
Hizi nguvu za soda za mwaka huu zisiwapumbaze
Wanaume tumekaa pembeni tunawasanifu tu na kuwachorea ramani
 
Dah wewe jamaa unaumia Sana aisee

Hiyo Saka kutakiwa na Anceloti Sijui umeitoa wapi

Ulianza Ramli kwa Partey ,IMEBUMA

Ulipiga ramli kwa Jesus IMEBUMA

Umekuja Tena kupiga ramli kwa Saka, ambaye soon anasaini mkataba mpya na Saliba ,

Martinell kasaini Jana


Arsenal sio timu ya kuuza ,ungeshaona watu wanaweka Bid kwa kina martinel, Ode ,saka ,n.k

Najua unaumia Chelsea haijulikan lini itanyanyuka ,au huenda nafas ya 10 yakawa makao yenu
 
Timu yetu tunaijua Sisi ,ndio maana tunapokwambia tunakaribia kuwa na timu A na B zinazokaribiana tunamaanisha

Tumebakiza wachezaji watatu Tuwe na Timu A na B zinazokaribiana uwezo

Tuna wachezaji wanacheza nafasi zaidi ya 1 -2 ,

Arsenal are keen to dramatically strengthen their midfield in the medium and long-term, with Caicedo and Rice regarded as the ideal players to provide competition for Granit Xhaka and Thomas Partey. [Telegraph]
 
Hapo kwa Chelsea hujadanganya mkuu
 
Pambana huenda Hata Conference league ukaikosa
 
Charlie Patino kafunga goli

Southmpton 2 Blackpool 1

Barcelona na Madrid walimtaka January hii , Arsenal Waka trigger Contract extension yake Hadi 2025

Now Arsenal wapo kwenye mazungumzo yakumpa mkataba mrefu

Uchezaji wake Kama FDJ , miaka 19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…