Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa Brighton wameweka bei ya Moises Caicedo ya Paundi mil 90
Habari zenu Gunners and The Blues. Fainali ndio kwanza inaanza
Sisi tukimkosa sio issue tuna option nyingi

Kazi kwenu ,mtasajili ila nafasi ya 10 sion mkichomoka aisee


Mkimkosa msiseme hamkutaka ,hamchelewi nyie
 
USARA ZA GWIJI LA HIGHBURY


Ni Mapema Ndio Lakini nimeona potential kubwa kwa Trossad jana kwenye misingi hii hapa

Niliwahi sema Mpira una Basics zake japo delivery inatofautiana kulingana Mchezaji na mchezaji ndio maana Uchezaji Zinchenko na Tierney kuna tofauti japo basics za Mpira ni zile zile

Trossad Ni mzuri kwenye ukokotaji mpira na kupunguza mabeki wawili watatu kutafuta space ya kufunga its means sio Limited

Pia Maamuzi ana maamuzi ya haraka afanye nini na mpira hii ni basics ila jamaa anaifanya kwa ufasaha mno

Kitu ambacho Trossad anahitaji kwa sasa anahitaji pattern sahihi kati yake na beki atakae cheza upande kushoto au LCM kama atachezeshwa LW

Kwanini nasema hivyo ili kuepeusha mazingira kuwa Isolated sana ata akipokea mpira hakuna mtu karibu wa kufanya nae Link up kwenye game jana

Anahitaji kuingia vizuri asa kwenye starting line up set ambayo mara nyingi Xhaka anacheza advanced LCM kumpa support kwa upande kushoto pia Zinchenko anavyocheza overlaping au inverted kuwepo na Angle nzuri kupatikana patterns au Jesus arudi wawe wanafanya positional interchange nawambia tuta enjoy sana uyu jamaa niishie hapa kwa leo

 
Tusidanganyane bana, mna option nyingi za nani LUKONGA??
Usidanganywe na Nani?

Kwan tulipomkosa mudrky tulisajili Nan?

Kwa akili yako unadhani Option Ni Caicedo tu?

Kwakukusaidia pia , Tuna wachezaji karibu watatu wanacheza DM. ...

Kama tusipomsajili caicedo , Arsenal wapo tayari ku trigger RC ya Zubimend kwa £52m tu.
 
Indeed this is a very good observation
 
Kwa uzoefu wangu ,Arsenal hawatavuka zaidi ya £70m , Brighton wakikaza ,Arsenal atahamia Option nyingine

Itakuwa Surprised tukilipa €100m(£90m) kwa mchezaji ambaye ameanza mechi hazifiki 40 za EPL ,analipwa £3k per week


Pia Brighton watakuwa wehu Kama £70m watazidi kukaza

Akili Yao Chelsea atakuja na €100m
 
If Brighton wants €100m for Moises Caicedo, Leave and go pay Zubimendi £52m release clause

Real Sociedad said yesterday they won't negotiating with anyone, any club that wants Zubimendi must pay his release clause. I want Moises Caicedo but i 100% love how Arsenal have not let clubs take us for a ride anymore. There are many other players that suits our style for less
 
As reported yesterday, Martín Zubimendi and Amadou Onana are two names to keep an eye on


Arsenal will walk away from a potential Caicedo deal if there is no solution soon. Arsenal still have other options
 
As reported yesterday, Martín Zubimendi and Amadou Onana are two names to keep an eye on


Arsenal will walk away from a potential Caicedo deal if there is no solution soon. Arsenal still have other options
Huyu Onana ni mvunja kuni tu, sioni akitua Emirates
 
| Good news. : MRI SCAN IMESHAFANYIKA ,PARTEY ALIPIGWA KIWIKO JANA, ARTETA AKAONA ASIMUACHE WAKAMUUMIZA ZAIDI ,




Thomas Partey's scan has been completed and his injury sustained against Manchester City is not a serious one and he's expected to be fit to face Everton.
 
Thomas Partey is expected to be fit against Everton.


Initial tests have shown no serious injury.


Endeleeni na Ramli nyingine
 
Atakuepo jumamosi against Everton
 
Thomas Partey is expected to be fit against Everton.


Initial tests have shown no serious injury.


Endeleeni na Ramli nyingine
Ataumia tena, injuries are looming after him
Muombeni Mola sana awasaidie, na dili la Caicedo ndio hilo limefika mil 90 Sterling Pound
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…