Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hapo sawa ,pia naona Arteta anataka kuweka nguvu pia kwenye Europa ,
 
Arsenal Wana target mbili Za Eneo la DM

Wakimkosa Caicedo ,sababu Brighton wanazidi kukaza HAUZWI

Option ya 2 Ni Zubimendi ,ana release clause ya €60m sawa na £52m ,

Hii una trigger muda wowote kabla dirisha halijafungwa

Zubimendi amekuwa akifananishwa kila Kitu uchezaji wake na Sergio Bosquet. ..
 
Nimeona ,ila tutapush Tena ,Caicedo alibadili wakala Juzi, na huyo wakala ndio kawatonya Arsenal uwezekano wa kumpata Caicedo January hi

Subiri ofa ya 2

Sam Dean Juzi alisema Arsenal Sasa wapo tayari kwenda Toe to Toe na Chelsea kwenye hili dili
Brighton wanajiandaa kuvuna pesa zingine either from Chelsea or Arsenal.

Sema scout ya BHA


Msimu ujao yule Mitoma watu wataanza kumgeukia
 
HIZI DHARAU SASA. ,BORA WALIVYOITUPILIA MBALI

AS Monaco have had an €8m proposal for midfielder Albert Sambi Lokonga REJECTED by Arsenal.

[@Santi_J_FM] #afc
 
Arsenal are in the market for a midfielder this month. It’s understood that Caicedo would be keen on a move to Emirates Stadium |


@ChrisWheatley_
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…