Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Mimi nazungumzia Project ya Arteta ,hizo unazosema wewe Ni Wenger Era ambazo Zina mengi ndani yakeArsenal mlikuwa mkiwapa sana nafasi watoto tumeshuhudia mkikutana na nini?
Kwa takwimu arsenal ndo team kubwa kwa miaka ya karibuni kuchapwa goli nyingi inapokutana na wakubwa wenzie hata mechi mnayopigwa goli 6 na Chelsea nadhani ulijionea watoto wenu walifanya nini ile mechi.
Nazungumzia miaka hii mitatu ya Arteta katika project yake aliyoiita THE ARSENAL WAY
Amewapa nafasi vijana wengi ,na kuleta wengine wadogo
Ndio maana Arsenal Ni timu yenye average ndogo kiumri ,Kuna muda tulikuwa na average ya miaka 24 , nadhani Sasa Ni 24.7-8 hivi .
Tumeiona man u preseason Ina vijana Wazuri tu wakupewa nafasi lakin kocha wenu muoga Sana ,