Arsenal (The Gunners) | Special Thread

443 umechanganya kidogo mzee..
 
Huyu mwana yuko vizuri.

Ila siyo finished article kuna kipindi alimanage kua first choice kwenye Juve yenye viungo rundo, ana decent pace, control na vision ila sijui nini kimetokea mpaka Juve wanataka kumuacha.
 
Mkuu nenda Youtube kaangalie Interview ya Boehly wakat anahojiwa na uiskie kwa makini. Utaelewa why Tuchel alifukuzwa.

Hizo issue sijui 443 ni media tu
 
Mkuu nenda Youtube kaangalie Interview ya Boehly wakat anahojiwa na uiskie kwa makini. Utaelewa why Tuchel alifukuzwa.

Hizo issue sijui 443 ni media tu
Ni 4-3-3 Mkuu sio 4-4-3 kama ulivoandika nadhan ni typing error
 
Chelsea kapeleka 60M ili amchukue Feran Torres ila Barca wamegoma
Chelsea hawajawh kumtaka Ferran Tores na hawajawah submit bid yeyote hayuko hata katika wachezaj wanaotakiwa.

Mchezaj pekee anayeweza fikiriwa kutoka barce tena ni kwa loan ni Kessie endapo sajil zikigoma kwa wachezaj tunaowatak

Priority ni Enzo n Caicedo
Priority nyingine Malo Gusto RB wa lyon

Fatilia mkuu.
 
Nachokiona hapa, arsenal kujiingiza kwenye hili deal ni kuwavuruga chelsea Ili wakaze wampate Caicedo ili summer sie iwe rahisi kumpata Decline Rice.
Na kama jinsi ilivyo kwa Agent wa Rice kuwatumiq nyie
huyu Rice ni media tu za UK ndio zinatufanya tuonekane tunamtaka.

Siamini kama tunamtaka na sio priority kwetu. Labda itoke deal zote zimefeli hata summer deal zote zimefel ndio huenda tukaturn kwake

Priority yetu ni Caicedo o Enzo, mid mmoja this jan if possible nyingine Summer.
 
Ana profile gani mchezaji wa Brighton anayelipwa 15k p/w?
Hebu kua na adabu basi japo kidogo kwa Caicedo.
Chelsea, Bayern Munich, PSG na Real Madrid wote wanamtolea udenda halafu Kima wewe unakuja kuuliza Caicedo ana profile gani?

Sasa wewe unataka kumfananisha Caicedo na huyo Kwiyo wenu mliyemuokota kwa eftatu?
 
Kwani Chelsea waga wana priority basi? Chelsea huwa wanaangalia nani anahitajika wapi, nani yupo hot kwenye Mainstream media na wao wanalukia huko. €300m kwa dirisha la kiangazi na timu ipo 10th on the table.
 
Kwani Chelsea waga wana priority basi? Chelsea huwa wanaangalia nani anahitajika wapi, nani yupo hot kwenye Mainstream media na wao wanalukia huko. €300m kwa dirisha la kiangazi na timu ipo 10th on the table.
Rice ameanza kuhusishwa na chelsea tangu wakat wa Lampard, ila mpka leo hii hakuna official bid iliyowahi pelekwa.
 
Timu yote inafunga ,akabwe Nan Sasa

Arsenal Players perfomance in all Competition this season:

1_ Bukayo Saka__ 8 Goals
7 Assists

2_ Nketiah__ 9 Goals
1 Assist

3_ Martinelli__ 7 Goals
3 Assists

4_ Jesus__ 5 Goals
6 Assists

5_ Odegaard__ 8 Goals
5 Assists

6_ Xhaka__ 4 Goals
5 Assists

7_ F. viera__ 2 Goals
4 Assists

8_ R. Nelson__ 2 Goals
2 Assists

9_ Marquinhos__ 1 Goal
1 Assist

10_ T. Partey__ 2 Goals
4 Creating chance

11_ Elneny__ 1 Goal

12_ Saliba__ 2 Goals
1 Assists

13_ Gabriel__ 2 Goals

14_ Tierny__ 1 Goal

15_ Tomiyasu__ 2 Assists

16_ Ben White__ 2 Assits
2 Creating chance

17_ Holding__1 Goal

18_ Zinchenko__ 1 Assists
5 Creating Chance

19_ Aaron Ramsdale__51 Saves
18 Clearance
9 Clean sheet

20_ Matt turner__ 10 Saves
5 Clearance
6 Clean sheet
 
Mkuu nenda Youtube kaangalie Interview ya Boehly wakat anahojiwa na uiskie kwa makini. Utaelewa why Tuchel alifukuzwa.

Hizo issue sijui 443 ni media tu
Huyo sio wa kumjibu. Ametunga kwa makusudi ili kusodoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…