Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
443 umechanganya kidogo mzee..Inaingia akilini?
Kocha kaomba wachezaji umemletea. Ana win % nzuri ila ghafla unamtimua
Inasemekana kumbe Boehly alimwambia Tuchel mipango yake ni kuhakikisha wanacheza 4 4 3. Tuchel alivyosikia hivyo akamrekebisha Boehly ila Boehly akakomaa. Tuchel akaona hapa hakuna mtu wa kufanya naye project ndiyo akaamua kuondoka.
Kumbe Tuchel aliondoka kwa mapenzi yake na hakufukuzwa
Bob soma vizuri reaction ya Tuchel baada ya Boehly kusema 4 4 3443 umechanganya kidogo mzee..
Huyu mwana yuko vizuri.THE LATEST: MCKENNIE INTEREST
As per Italian news outlet Gazzetta, Mikel Arteta’s side are on the ‘trail’ of McKennie, and Juventus are willing to negotiate offers of between €20-25m (£17.5-22m) plus bonuses for him
Lauded as a ‘monster‘ in the air by football writer Wes Tucker, and a ‘pressing machine‘ by journalist Chris Smith, McKennie is rated very highly, and at 24 years of age, has not reached his full potential.
Mkuu nenda Youtube kaangalie Interview ya Boehly wakat anahojiwa na uiskie kwa makini. Utaelewa why Tuchel alifukuzwa.Inaingia akilini?
Kocha kaomba wachezaji umemletea. Ana win % nzuri ila ghafla unamtimua
Inasemekana kumbe Boehly alimwambia Tuchel mipango yake ni kuhakikisha wanacheza 4 4 3. Tuchel alivyosikia hivyo akamrekebisha Boehly ila Boehly akakomaa. Tuchel akaona hapa hakuna mtu wa kufanya naye project ndiyo akaamua kuondoka.
Kumbe Tuchel aliondoka kwa mapenzi yake na hakufukuzwa
Ni 4-3-3 Mkuu sio 4-4-3 kama ulivoandika nadhan ni typing errorMkuu nenda Youtube kaangalie Interview ya Boehly wakat anahojiwa na uiskie kwa makini. Utaelewa why Tuchel alifukuzwa.
Hizo issue sijui 443 ni media tu
Nimemwambia aende youtube aangalie mahojiano yake. Ataelewa why Tuchel alitumiliwaNi 4-3-3 Mkuu sio 4-4-3 kama ulivoandika nadhan ni typing error
Chelsea hawajawh kumtaka Ferran Tores na hawajawah submit bid yeyote hayuko hata katika wachezaj wanaotakiwa.Chelsea kapeleka 60M ili amchukue Feran Torres ila Barca wamegoma
Na kama jinsi ilivyo kwa Agent wa Rice kuwatumiq nyieNachokiona hapa, arsenal kujiingiza kwenye hili deal ni kuwavuruga chelsea Ili wakaze wampate Caicedo ili summer sie iwe rahisi kumpata Decline Rice.
Hebu kua na adabu basi japo kidogo kwa Caicedo.Ana profile gani mchezaji wa Brighton anayelipwa 15k p/w?
Ozil, Sanchez, Podolsiki nao tulipewa?Hamna uwezo wa kumnunua Caicedo, wachezaji ambao tayari wameshatengeneza profile yao hua hamna ubavu wa kuwanunua, labda wale wa kupewa kwa hisani kama mlivyopewa Jesus na Zichenko.
Kwani Chelsea waga wana priority basi? Chelsea huwa wanaangalia nani anahitajika wapi, nani yupo hot kwenye Mainstream media na wao wanalukia huko. €300m kwa dirisha la kiangazi na timu ipo 10th on the table.Na kama jinsi ilivyo kwa Agent wa Rice kuwatumiq nyiehuyu Rice ni media tu za UK ndio zinatufanya tuonekane tunamtaka.
Siamini kama tunamtaka na sio priority kwetu. Labda itoke deal zote zimefeli hata summer deal zote zimefel ndio huenda tukaturn kwake
Priority yetu ni Caicedo o Enzo, mid mmoja this jan if possible nyingine Summer.
get a life you fucking moronHebu kua na adabu basi japo kidogo kwa Caicedo.
Chelsea, Bayern Munich, PSG na Real Madrid wote wanamtolea udenda halafu Kima wewe unakuja kuuliza Caicedo ana profile gani?
Sasa wewe unataka kumfananisha Caicedo na huyo Kwiyo wenu mliyemuokota kwa eftatu? View attachment 2493807
Rice ameanza kuhusishwa na chelsea tangu wakat wa Lampard, ila mpka leo hii hakuna official bid iliyowahi pelekwa.Kwani Chelsea waga wana priority basi? Chelsea huwa wanaangalia nani anahitajika wapi, nani yupo hot kwenye Mainstream media na wao wanalukia huko. €300m kwa dirisha la kiangazi na timu ipo 10th on the table.
Clean sheets chache sana. Ila ushindi ni mtamuArsenal at Emirates Stadium this season 🔥View attachment 2492591
Ila wee jamaa unaonekana hata mtaani wewe ni mzurulaji sana hautulii kwenu au umelambwa na mbwa?Hamna uwezo wa kumnunua Caicedo, wachezaji ambao tayari wameshatengeneza profile yao hua hamna ubavu wa kuwanunua, labda wale wa kupewa kwa hisani kama mlivyopewa Jesus na Zichenko.
Kwani mshahara ndio profile, wewe unajua market value ya Caicedo?Ana profile gani mchezaji wa Brighton anayelipwa 15k p/w?
Huyo size yenuChelsea kapeleka 60M ili amchukue Feran Torres ila Barca wamegoma
Hajachanganya. Soma mada nzima huyo mchokozi443 umechanganya kidogo mzee..
Huyo sio wa kumjibu. Ametunga kwa makusudi ili kusodoaMkuu nenda Youtube kaangalie Interview ya Boehly wakat anahojiwa na uiskie kwa makini. Utaelewa why Tuchel alifukuzwa.
Hizo issue sijui 443 ni media tu