Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hamna uwezo wa kumnunua Caicedo, wachezaji ambao tayari wameshatengeneza profile yao hua hamna ubavu wa kuwanunua, labda wale wa kupewa kwa hisani kama mlivyopewa Jesus na Zichenko.
We jamaa wewe......
 
Naona zile pesa za Mudy zimapiga kazi. Kama vipi tumchukue huyo Caicedo, au tuichukue scouting team ya Brighton maana wanajua kutafuta mpaka maporini huko wanaleta vyuma vya bei Cheeeeee ila vinakiwasha balaa.
Tuna mchezaji km Caicedo ambaye ni Partey, tukimpata Rice itakuwa poa zaidi, ataanza km 8 baadae Partey akipungua makali kwa umri wake, Rice anarudi 6
 
Hongereni sana kwa kumsajili Kwiyo, hao ndio type za wachezaji ambao Arsenyani anauwezo wa kuwasajili ila sio kina Caicedo ambao kuna timu kubwa zaidi ya mbili zinamuhitaji.
Yule babu kutoka Besikitas unamzungumziaje?

Mmeshindwa hata kupandisha CF kutoka academy ?
 
THE LATEST: MCKENNIE INTEREST

As per Italian news outlet Gazzetta, Mikel Arteta’s side are on the ‘trail’ of McKennie, and Juventus are willing to negotiate offers of between €20-25m (£17.5-22m) plus bonuses for him
Lauded as a ‘monster‘ in the air by football writer Wes Tucker, and a ‘pressing machine‘ by journalist Chris Smith, McKennie is rated very highly, and at 24 years of age, has not reached his full potential.
 
Inaingia akilini?

Kocha kaomba wachezaji umemletea. Ana win % nzuri ila ghafla unamtimua

Inasemekana kumbe Boehly alimwambia Tuchel mipango yake ni kuhakikisha wanacheza 4 4 3. Tuchel alivyosikia hivyo akamrekebisha Boehly ila Boehly akakomaa. Tuchel akaona hapa hakuna mtu wa kufanya naye project ndiyo akaamua kuondoka.

Kumbe Tuchel aliondoka kwa mapenzi yake na hakufukuzwa
 
443 umechanganya kidogo mzee..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…