Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawachelewi kutoa sababu.. lakini bado ni wa kufungwa tu, hakuna namna.
Baada ya game ya jana, EtH alihojiwa kuhusu casemiro kumiss mechi ijayo ana maoni gani?
Akajibu last time aliwafunga bila casemiro !

Nyie Kima kifo chenu jumapili kiko palepale, endeleeni tu kujifariji kwa kukosekana uwepo wa Casemero.
Midhali kocha wetu ni Erik Ten Hag kwenye kiungo hata kama atacheza Mpoki kuwafumua kupo palepale, jumapili tunaenda kupiga palepale kwenye mshono.
 
Nadhani wanajiamini Kwa sababu inaonekana conversion rate yao ya hizo counters wanazopata ni nzuri. Wanasema wao pass 3 goli. So wanajua wakimpa Rashidi counter moja tu through on goal aatatupia halafu wao wapaki tu basi wasubiri counter ingine.
 
Nadhani wanajiamini Kwa sababu inaonekana conversion rate yao ya hizo counters wanazopata ni nzuri. Wanasema wao pass 3 goli. So wanajua wakimpa Rashidi counter moja tu through on goal aatatupia halafu wao wapaki tu basi wasubiri counter ingine.
Dah kaunta kwao ni mmoja Rashidi makame, tumecheza na Spurs wana watu zaidi ya watatu wa Kaunta ,
 
Mnajipa moyo sana ,sisi hatuongei sana
Takwimu za Casemiro na Thomas Partey msimu huu kwenye Epl, nani ni mkali zaidi hapo?

THOMAS PARTEY
Michezo: 15
Mabao: 2
Assist: 0
Nafasi alizotengeneza: 13
Clean sheets: 8
Tackles: 34
Interception: 17
Clearances: 23
Duels won: 72

CASEMIRO
Michezo: 15
Mabao: 2
Assist: 3
Nafasi alizotengeneza: 14
Clean sheets: 5
Tackles: 46
Interception: 18
Clearances: 29
Duels won : 92

Tulivyowagonga round ya kwanza kisingizio chenu kilikua ni Partey, Jumapili tunawagonga tena na huyo Kitchen Party wenu, andaeni mapema kabisa visingizio vya kumlaumu refa safari hii.
 
Tunaweka kumbukumbu ,usije kusema ulikuwa umelewa
 
Sasa huyo kiungo wenu hatakuwepo kwenye mechi ijayo, tutatake control of the midfield...mtaona Cha Moto nakwambia
 
Arsenal ili atafute goli atatoa pasi kwa CB, CB atatoa kwa Full back, FB atarudisha kwa CB au CM kisha watatafutwa wings, wings watarudisha kati na kwa CB au watajaribu kuingia kwenye box.

Prime Liverpool ili itafute goli ilikua Allison anapiga tu kick moja mbele na Salah/ Mane/ Jota/ Firmino wanaukimbilia wanascore. Au Trent atagewa pasi wakati anaipokea anaona kuna forwards wameanza onyesha movements, atapiga long ball moja na goli tayari.

Arsenal tushafungwa hayo magoli na 70% wamefungwa hayo magoli na Liva. Arsenal hatuna Trent wala Kevin so namna yetu ya kutafuta goli ni sahihi, United wanajaribu kutafuta magoli kwa mtindo wa prime Liverpool lakini na wao hawana Trent wala Kevin, ndiyo maana jana ilikua ni kama two clowns fighting, Palace ni wabovu lakini United ni mbovu pia kwakua wao wanaamini long balls ndiyo tiba yao kwa sasa, na kusahau hawana watu wa kuwafanya kua beast.

So what does this mean? We mess with their heads na kuwaachis possession ambayo we know they aint good at or we stay with the ball ila kuhakikisha mid inakua overcrowded na Arsenal players?

Rashford na Martial are overrated, hata Casemiro angekuepo he is just a player in a shitty system, na Ancelotti alisema kudefend ni structure na organization kuliko hata talent ya players na tukiangalia hizi timu mbili we have a better structure.

So hata wangekua na Casemiro watatu their structure is shit na ushindi wa J2 utategemea better structure kuliko kama Casemiro angekuepo au asingekupo.

Arsenal is winning
 
Ila Hawa vichaa tutawapiga mpaka watueleze walitushindaje game ya kwanza Ili nyau wengine wasijaribu kudesa
Lokonga kaka, tusipepese macho

Ukiangalia gem na tot au hata Nyukesto kaunta zao wakipiga unakuta Partey tayari yupo na Saliba na Gab kwenye line moja
 
Sura yako utaiweka wapi j'pili hii ndugu
 
Kocha anaitwa setien, some sort of very good football
Your browser is not able to display this video.
 
Kaka zungumzia football sio statistics the way casemiro anacheza ni tofauti kabisa na partey..partey anawez shine popote bila kutegemea wengn sabb anauwezo wa kushika dimba kwa aspects tofaut tofaut ukilinganisha na casemiro ambae akiiba mali hana uwezo wa kufanya mikimbio inayoleta madhara au kupass mipira mirefu....
Sijui kama unaikumbuka invincibles waliimbwa wachezaji wengi lkn mchezaji muhimu zaid na usajili bora ulikuwa gilberto silva lkn hakuwa mchezaji wa statistics bali kurahisisha na kuongeza ufanisi sasa huyo casemiro ni mkamiaji huwezi mfananisha na baller partey ni kuukosea mpira heshima....
Kama ilivo busquet pale barcelona huwez mkuta et ana assist sijui magoli sabb anatimiza yale majukumu yake muhimu sasa kama mchezaji anafanya timu icheze na kumiliki mpira attafanya tackling za hatari za nini kama anasuply mipira kwa uhakika na anasimama kwenye eneo sahihi na kumpa uhuru xhaka na odegaard wacheze kwa uhuru tatizo nini??
Mfumo anaocheza arsenal sasa wachezaji hawaingilian majukumu kbx mtazame zinchenko vs shaw ni mfumo wa man u shaw anachez beki ya kupanda na kushuka ila zincheko anacheza kama middle zaid...
Partey mlinganishe na rodry sio huo mfupa mkavu casemiro huyo rodry mwenyewe alikuwa anakula mbao pale atletico sabb y uwepo wa partey...
Welcome emirates
#COYG
 
Atakuambia Casemiro ni bora kuliko Busquet😂😂

Kabla ya mechi ya jana walikua wakikufuru na kusema eti Rashford ni bora kuliko prime Thierry Henry!! Wtf!! Hawa jamaa ni ****** sana.

Yani wanatia hasira sana. Hukumu pekee kwa hawa jamaa ni kufungwa tu jumapili, wasipate hata sare.. mana hakuna namna nyengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…