Huyo mtoto anajua sana ,Uchezaji wake ukimuangalia kama Frenkie De jong,Charlie Patino ni Granit Xhaka successor na 3.0 yaani mara tatu ya Granit. Charlie Patino arudishwe kwenye kikosi msimu mpya July.
Charlie Patino akipewa nafasi atakuwa kiungo mmoja mkubwa duniani kuwahi kutokea na kushuhudiwa chini ya jua.
Arteta akiendelea kuona na kutumia mastaclass formula sioni Lokonga akiendelea kuwa Arsenal — another good player for mid table and farmers league teams.
Daaaaaaah!!!Kumbe kuna wakati akili huwa zinarudi hata mm huwa napitia page ya george ambagile nasema kweli Tanzania vichwa maji tupo wengi ...hivi mtu anachambua wali au mchele kbl haujapikwa na muda unapikwa??iweje mtu aelezee yaliyotokea uwanjani alafu tuseme amechambua ni mchambuzi mzur kwann asiwe anafanya analysis kbl ya hizi game ili atupe prove ya kile anachokifanya ???
Wapo!Kw
Kwani Ni mchezaji gani ambaye angeshindwa kufunga akiwa Kwenye nafasi Kama ile?
Hilo lilikuwa goli la kawaida Sana broo.
Hapana kaka wanaweza wakabebwa , hebu jarbu kutengua hiyo kauli angalau ungesema hautarudi humu jukwaani tena, au wakuite mbwanyie kenge mkiifunga Arsenal nipo tayari jinsia yangu ibadilishwe,hamna uwezo huo
Leo Kati akicheza scoty na ericksen mbona fresh tu ? Fred na Case waje Emirates kuwaadhibu sAwa sAwaKuna Sheria , ukipata kadi za njano 3 mfululizo unakosa mechi Moja inayofuata.
Ukipata kadi za njano 5 ndani ya mechi 19 za mwanzo unakosa mechi Moja inayofuata...lkn ukimaliza mechi 19 za round ya Kwanza ukiwa na kadi 4 za njano unafutiwa kadi hizi round ya pili unaanza upya kuhesabu kadi mpya.
SAKA,SALIBA ,JESUS,MAGALHAES wote Wana kadi za njano 4 kila mmoja....
Kwanini hawajawai kukosa mchezo?....jibu ni kwamba hizi kadi hazijapatikana kwenye michezo iliyofuatana.
Hii case now haina pressure sana kwetu maana tumeshavuka vigongo vingi na wakizipata hizo kadi itakuwa vs united.
United wao kama Fred na Casemiro Watapata kadi za njano Leo vs crystal palace hawa hawatakuwepo nao vs Arsenal
Eddie howe alikuja na 4-3-3 kama anavyofanya mechi zake zote,Sijui watu mnajua ni kwa kiasi gani hii Arsenal iko vizuri.
Newcastle walikuja wakawa na idea ya kufanya highline press, dakika 10 baada ya hilo jaribio Edie Howe akaona isiwe kesi. Akawaweka Joelinton na Almiron kwenye wingback na kupaki zake basi
Mpo kwenye dilemaLeo Kati akicheza scoty na ericksen mbona fresh tu ? Fred na Case waje Emirates kuwaadhibu sAwa sAwa
Goli la Bruno mlibebwa uongo dhambiO
Ona hizi bhangi, tulibebwa wapi sasa nyie arsenyonyo fans, baadhi yenu kama wew huwa mnamatatizo.
Aliyekua offside ni nany! Na aliyefunga goli ni nany! hivi uliangalia hiyo gemu au unamanisha kubebwa kiaje.
Huyo hatari tupu.Daaaaaaah!!!
Kuna siku moja nikasikia mchambuzi mmoja anasema ugumu na urahisi wa hii mechi, Azam na timu gani sijui, upo mikononi mwa Azam.Wakiamua game itaisha mapema, wasipoamua game itakuwa ngumu.
Nikasema hiiiiiiiiiiiiiiii.