Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Man u ana mechi Jumatano na Palace , Arsenal hatuna mechi Hadi juamapili

Hivo atatukuta tunamsubiri Jumapili tukiwa fresh


| Mikel Arteta on the need to get over 90 points to win the league:

“100% yes, I do. I don't want to do too many calculations. It's how we are going to prepare for the game against Man United now, to get another three points and play well and deserve to win.” [@arsenal]
 
I don't need your excuses, endelea kulia na magazeti yako, "ooh tuna majeruhi" timu gani haina majeruhi?
 
Najua unamatokeo. Next time acha kupiga ramli, mambo ya kishirikina ya nini!?
 
Najua unamatokeo. Next time acha kupiga ramli, mambo ya kishirikina ya nini!?
Nilisema anything can happen hii ni football
dear bro/sister haujui English?hakuna game rahisi kwa sasa na ukisoma between the lines utajua nilichomaanisha wala usingekuja na quote hii tulifungwa na Manchester United na kutoa draw vs Southampton ambazo game hizo hazikuwa tight kama ya Jana Spurs second half alikuja wa moto but pia pongezi kwa Ramsdale aliamka vizuri sana aliokoa michomo ya hatari mmojawapo wa Sessgnon
 
David Ornstein:

"They (Arsenal) will only sign players if it makes sense financially.

Don't think they are out of it yet, in terms of reinforcing their squad." [NBC]
Ornstein: "That (Trossard) might be one to watch, but I don't know about active movements, as things stand."
 
Ivan Fresneda fundi mmoja na nusu


Arsenal have joined the race for Real Valladolid right-back Ivan Fresneda and have serious interest in the teenager. Lots of other clubs are in for Fresneda, including Newcastle. #AFC monitoring situation closely.

Miaka 18 , Beki wa kulia kutoka Real Vallodolid

Arteta anataka ule Upande wa ben white , RB kicheche


Mashabik Weng wa Chelsea wanamtag tajir wao aingilie hili dili



Na mashabik wa madrid wengi wamevutiwa na bwana mdogo ,
 
“This week Arsenal will decide on strategy after Mudryk. No concrete talks yet; Agents/ intermediaries offering solutions, Arsenal will take their time.On Raphinha,told he’d love to stay at Barca.We’ll see if it changes this week.”

@FabrizioRomano
 
Wameikataa Arse888 masikini, hivi naomba kama kuna mwenye statement ya Mudryk akisema anaipenda Arse88, au ni hii misukule ilikua inajitekenya yenyewe.
Mana kama mchezaji angekua anipenda timu angefanya kama Raphina kwenda baca.
Sometimes mpira ni zaidi ya mapenzi, hata Wright jana kasema. Dogo alikuwa akilipwa 4k, arsenal wakaja na 5pk, cheltako wakaja na 100k. Hata ingekuwa wewe ungeenda wapi?

Arsenal wameoffer 60+, cheltako wamekuja na 80+. Kama timu ungemuuza wapi, na philosophy ya arsenal ilivyo, malipo yao yana mafungu mengi...

Chelsea hawana plan, wao wanajiendea tu.
 
Hakuna kitu mmeumia Kama Gunners kumkosa huyo mudrky,,,

Ni vile tu,, maisha yanaendelea !

Binafsi sioni akifanikiwa pale darajani, mfumo wenu unammbeba zaidi !

Siku hizi mapenzi pembeni , hela ndio kila kitu !

Siku hizi kupata wachezaji wafia timu wenye mapenzi Ni ngumu Sana ,,,, zamani walikuwepo kina Gerrard, Giggs, Puyol, Scoles n.k !
 
acha maisha yaendelee

tushasahau habari za Mudryk Arsenal hii hata tumpange kibu Denis yoyote atakaepita mbele tunae
 
Repost George Ambagile Tottenham v Arsenal

.Arsenal wanacheza kibingwa sana , wanakupa picha zote mbili pale wanapohitajika kufanya hivyo ... wakiamua kushambulia wanakuwa hatari , wakiamua kuzuia wanakuwa na shape nzuri sana ya uzuiaji ... they are so good

.Kipindi cha kwanza utasema Wanaume Vs Wavulana , jinsi Arsenal walivyowaonea Spurs . Arsenal walifanya vitu vingi kwa usahihi

1: Kushinda mpira wa kwanza hasa ya juu
2: Kushinda mpira wa pili
3: Passing
4: Kuweka presha kwenye mpira haraka sana pale wanapopoteza ( Counter pressing )
5: Shape yao ya uzuiaji pale waapokuwa na mpira ( rest defense )
6: Mpambano wa kimwili walikuwa wanawatoa njiani kirahisi sana Spurs
7: Kumiliki mchezo kwa utulivu ( Control )

.Wazuie Arsenal kwenye chanzo cha ujenzi wao wa mashambulizi ( stop them at source ) na hiko chanzo ni Zinchenko na Partey lakini sio rahisi sana bali inawezekana kama Spurs walivyofanya kipindi cha pili , ukiruhusu Arsenal watulie ( Settled possession ) na kufika phase ya tatu ya mchezo ( kwa Saka Odegaard Martinelli Nketiah na Xhaka ) utakuwa na kazi ngumu sana ya kuwazuia , they are dangerous

.Spurs kipindi cha pili walifanya kile ambacho hawakufanya kipindi cha kwanza :

1: Weka presha kwenye mpira
2: Pasia mpira vizuri
3: Shinda mpira wa pili
4: Runners kwenda mbele

Lakini shida kwao ni kwamba kila swali walilouliza kwa Arsenal lilipatiwa majibu sahihi

NOTE

1: Saka akiwa na mpira mguuni , kumpokonya kazi sana na leo movement zake ni kuomba mpira mbele ya Sessegnon na kuingia ndani


2: Odegaard " THE TECHNICIAN " huyu nimesema sana


3: Partey after Partey
shilingi sita inayopora mpira na kupiga pasi mithili ya namba 10

4: Kilichomtuma Pep kuwauzia Arsenal Zinchenko atajuta , yule Bro kama ana sumaku


5: Aaron Ramsdale
top saves

6: Kwanini Conte alimuacha Bissouma kwenye benchi ?


7: ENDELEENI KUKARIRI , WENYEWE SHIDA YAO SIO UBINGWA BALI KUSHINDA MECHI INAYOFUATA TU HALAFU TUKUTANE MEI 2023

FT : Spurs 0-2 Arsenal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…