Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Winning when it matters most is the character of the Champion. Ushindi wa game ya leo na ya next week utaguarantee ubingwa by almost 80%.

Baada ya game hizi mbili ndo nitaconclude kuhusu maturity ya wachezaji wetu kwenye big stages na kuanzia hapo ndio either ntamuunga mkono mkorea au nitabaki na ninachokiamini toka mwanzo wa msimu ambacho ni "best achievement we are capable of, is top four qualification."

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Hii drama tuliifanya msimu uliopita. Chukua Guimaraes tukaona 40M nyingi Partey akaumia na leo tupo hapa.

Shida ni kwamba bado hatuna kiungo na hatuonyeshi kama tuna mpango wa kusajili ila tunatarajia miujiza.

At this point tukiwekeza vizuri we have a chance in title race. Huo ndiyo ukweli
 
80% umeweka kubwa sana.

Kabla ya game dhidi ya Newcastle tulikua na 51% za ubingwa. Baada ya ile game tukashuka mpaka 46% matokeo ya jana ya City na yetu leo dhidi ya Spurs yanaweza leta namba tofauti ila siyo 80%
 
Miaka 10 haijatimia bado.

2014 na 2015 tulimfunga akiwa nyumbani
 
Kwa kweli sikufuatilia hizo stats zake. Atakuwa mingoni mwa wafungaji bora wao hadi sasa nadhani. Alikuwa mchezaji muhimu mwenye kasi na ubunifu. ALicombine viuri na wengine na alitoa burudani. Alikuwa mgumu kumkaba na aliwapa Chelsea fouls, nadhani na penalties pia. Pale ilipobidi liweza kuwa mbeba team 'game changer/protagonist' hali ikiwa ngumu. Nakumbuka kuna game alitufunga baada ya kukokota mpira mbele ya halfway line, Coquelin akajaribu kumkaba akajikwaa kwake na kuanguka, akauburuza mpaka kumkuta na kumtoka Koscielny na kupiga bonge la bao.
Nisahihishe kama nimekosea

Hazard hajawahi kufunga magoli zaidi ya 15 kwenye ligi akiwa Chelsea.

Alipofunga magoli zaidi ya 15 ndiyo Madrid wakamfuata.

Au haiko hivi?
 
Assists zaidi kuliko yeye mwenyewe kuscore
 
80% umeweka kubwa sana.

Kabla ya game dhidi ya Newcastle tulikua na 51% za ubingwa. Baada ya ile game tukashuka mpaka 46% matokeo ya jana ya City na yetu leo dhidi ya Spurs yanaweza leta namba tofauti ila siyo 80%
Kwangu mimi kama tukishinda hizi game 2 basi tutawiden the gape na UTD na City, pia confidence level itakuwa juu hivyo kutengeneza possibility kubwa ya kupata pts vs City kwenye game zote. Kwa average teams nadhani kwa sasa wanatuhofia that's why tunawadefeat in their own fear (take example of West Ham also Brentford)

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Hao akina nelson, lokonga achana nao

Tunza hiyo text
 
Guimares sio holding midfielder, umekuwa off humu ushalose streak.
 

Either umeshondwa kujieleza au uliowasikia wanaoongelea amortisation na disclosure hukuwaelewa vizuri.
Ulichokiandika hakikubsliki kiuhasibu
 
Ila anaweza kukuchukulia mpira kukupelekea mbele, kukupa pasi za rula, ananyumbulika vizuri tofauti na Lokonga na Elneny
That doesn't make him a holding mid, he's a second phase merchant. Perfect suit to Xhaka's LCM.
 

Ushindi wa leo na next weekend hautoi 80% guarantee ya kuwa bingwa, Bali unajenga morale towards securing the title. Maybe 60%
 
Piers Morgan anasema «If Arsenal want to win the League this season, we can’t faff around for weeks on key targets and then get outflanked/outbid at the last minute. Looks weak.

"We must buy another top class striker asap."

Earlier, Piers had also tweeted: "How can this be happening? Ridiculous that Arsenal let this transfer saga drag on so long we’ve apparently ended up losing him."

The TV personality was far from the only Gunners fan who was left fuming by yesterday's developments.

"Can’t blame the player, blame Edu for not getting this done ages ago."

Another said: "Edu just got his pants pulled down and got taught a lesson on what happens when you take the p*** with transfers lol nothing more to add."
 
Nilisema huyu ametumika au amefanya kazi yake.
Uzembe ni wa Edu na sio Fabrizio management ikubali imeteleza tuangalie what next siku zinaenda za deadline huku tuna two big competitions (EPL and Europa league)ambazo zote this season tunazitaka huku tukiwa na strong 11 starting squad na weak bench kwa kipindi hiki ikifika March muda wa kukimbizana kumaliza EPL na Knock out ya Europa ndio tutakuja kuona umuhimu tena wa usajili kama last season tulivyoikosa top 4
 
Maneno ya kujifariji 🤣🤣🤣
 
Nisahihishe kama nimekosea

Hazard hajawahi kufunga magoli zaidi ya 15 kwenye ligi akiwa Chelsea.

Alipofunga magoli zaidi ya 15 ndiyo Madrid wakamfuata.

Au haiko hivi?
Hazard alikuwa Bora zaidi kipindi Cha mourinho ndio alikuwa na goals nyingi na assist msimu ujao ndio akaja Conte. Hazard alikuwa afungi magoal mengi lakini alikuwa anaibeba mechi kwa mabega yake yaani kiufupi alikuwa anadominate mechi wa wachezaji wa aina hii hawapo sasa hivi kwa asilimia kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…