jong afrikaanse
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 675
- 998
Winning when it matters most is the character of the Champion. Ushindi wa game ya leo na ya next week utaguarantee ubingwa by almost 80%.Tuna miaka 10 hatujawahi kumfunga spurs away na katika game Kama 10 tumetoa draw only 2 times ,so anything can happen najua tutawazidi kwa kumiliki mpira but defenders wetu na wasiwasi nao sana kwenye counter attacks za spurs inabidi leo watulie mambo ya kukabia juu yanaweza yakatuumiza but tusubiri game muhimu ambayo itatoa direction season hii ukiachana na next game vs Manchester United lazima tupate 3 points leo ili next week tunaenda kumaliza mchezo tunakuwa juu zaidi ila leo ikitokea negative results tutaenda game ijayo vs Manchester United pressure ikiwa juu na watu wazima tukaanguka so game ya leo sio rahisi hata kidogo in my opinion
Baada ya game hizi mbili ndo nitaconclude kuhusu maturity ya wachezaji wetu kwenye big stages na kuanzia hapo ndio either ntamuunga mkono mkorea au nitabaki na ninachokiamini toka mwanzo wa msimu ambacho ni "best achievement we are capable of, is top four qualification."
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app