Hao kuku wakubwa ndiyo wamekufikishs hapo kama sikoseiAcha kudanganya wewe, waache kuisajili washuke daraja
Nyie Arsenal mmetotoa vifaranga na sasa wamekuwa wakubwa. Sio kila timu inatotoa vifaranga
Wengine tunanunua kuku walubwa
Hii kawaida kwenye transfer kutokea issue Kama hizi
Ni kweli mkuuHii kawaida kwenye transfer kutokea issue Kama hizi
Tunafocus na mechi ya leo
Kuna wachezaji wengine sokoni , Tuwe watulivu ,Arteta na Edu wanajua Cha kufanyaLabda Chelsea wanatafuta first 11, wameona reasonable kutoa 100m
Ila backup ya saka/martinel hauweze kutoa huo mzigo, labda 60-70m
Saka, saliba, martinel hawa pia inabidi wajeku-renew mikataba
Lazima ucheze vizuri na wage structure
Mshahara utakao mlipa mudryk ambae anaikuta arsenal iliyopambaniwa na hao wapambanaji
Hao wapambanaji lazima na wao wata-demand pesa kubwa sana. Na watakua sahihi
Kuna unafuu sana kumkosa mudryk kuliko kumpata
NB
Mudryk ni bonge moja la player
Kumbuka tulipomkosa Martinez ,tulimpata ZinchenkoNi kweli mkuu
Na sasa hivi tunatafuta backup ambapo hizo options bado zipo nyingi tu
inasemekana katika personal terms, angeanza na mshahara wa 60k p/w hivi halafu ataanza kuongezewa mwaka kesho kulingana na performance. alikuwa amekubali maana kwao anapata kama 13k p/w. hivyo mshahara haukuwa tatizo. transfer fee ya timu yake ndiyo ilikuwa shida kuu.Labda Chelsea wanatafuta first 11, wameona reasonable kutoa 100m
Ila backup ya saka/martinel hauweze kutoa huo mzigo, labda 60-70m
Saka, saliba, martinel hawa pia inabidi wajeku-renew mikataba
Lazima ucheze vizuri na wage structure
Mshahara utakao mlipa mudryk ambae anaikuta arsenal iliyopambaniwa na hao wapambanaji
Hao wapambanaji lazima na wao wata-demand pesa kubwa sana. Na watakua sahihi
Kuna unafuu sana kumkosa mudryk kuliko kumpata
NB
Mudryk ni bonge moja la player
Naimani umesoma na post ya Aaron Arsenal hapo juuinasemekana katika personal terms, angeanza na mshahara wa 60k p/w hivi halafu ataanza kuongezewa mwaka kesho kulingana na performance. alikuwa amekubali maana kwao anapata kama 13k p/w. hivyo mshahara haukuwa tatizo. transfer fee ya timu yake ndiyo ilikuwa shida kuu.
Transfer fee arsenal alifika had package ya €95m pungufu 5 ya Chelseainasemekana katika personal terms, angeanza na mshahara wa 60k p/w hivi halafu ataanza kuongezewa mwaka kesho kulingaa na performance. alikuwa amekubali maana kwao anapata kama 13k p/w. hivyo mshahara haukuwa tatizo. transfer fee ya timu yake ndiyo ilikuwa shida kuu.