Umemaliza kila kitu.Siwezi kusema ataflop au kumwombea hivyo. Kumbuka pale darajani Kuna bonge la project linajengwa. Atakuwa na kina Nkunku na wengine kama 50 hivi so atakuwa katika kikosi kizuri ambacho kikikaa sawa uwanjani kitasumbua sana. Kwa sasa wako katika transition period hivyo hatuwezi kuwajudge Kwa performance za hivi karibuni. Wapate muda wa tulie wajijenge wataonesha uwezo wao.
Pia Edu hapendi saaana wachezaji wa kugombania sana. Anataka anayeonesha kutamani kujiunga na project yake na kuipambania. Vigeugeu hapendi. Edu alisema alishapiga chini usajili wa m/wachezaji Kwa sababu walionesha kutaka pesa au mengineo zaidi ya kuipagania arsenal na falsafa zake. (Kuna mdau alisema huku kuwa Mudy ni mkimbizi anakimbia vita hivyo hata Southampton wangemtaka angesifu na kuabudu aende huko, na shaktar nao wanahitaji mshiko wa kununulia nchi yao bunduki (utani mbaya sana huu, sorry Kwa kuukumbushia).Kama bodi ya Arsenal iliamini hatutakiwi kutoa 100M basi acha iwe.
Tangu Arteta aje tumekosa wachezaji wengi kwaajili ya ofa yetu kua ndogo, Aouar, Martinez, Vlahovic, Locatelli, Maddison na leo tuko hapa
Hua nashangaa timu kama Napoli au Dortmund wanaingia chimbo wanakuletea mtu wa 16M na anawasha moto mpaka chelsea et el watakuja kutoa 100MPia Edu hapendi saaana wachezaji wa kugombania sana. Anataka anayeonesha kutamani kujiunga na project yake na kuipambania. Vigeugeu hapendi. Edu alisema alishapiga chini usajili wa m/wachezaji Kwa sababu walionesha kutaka pesa au mengineo zaidi ya kuipagania arsenal na falsafa zake. (Kuna mdau alisema huku kuwa Mudy ni mkimbizi anakimbia vita hivyo hata Southampton wangemtaka angesifu na kuabudu aende huko, na shaktar nao wanahitaji mshiko wa kununulia nchi ya bunduki (utani mbaya sana huu, sorry Kwa kuukumbushia).
On to the next one.
What does it mean for us?:
Kama sisi hatukurupuki kusajili na tunasaka profile mahususi Kwa kuimarisha team, kumfuatilia Mudryk Kwa kiasi hiki inaanisha tulimhitaji sana na huenda hatujaona sokoni mwingine kama yeye. Hivyo ni wazi hili ni pigo kubwa kwetu.
Project yetu Sasa itapungua Kasi.
Au....Kwa sababu imesemekana sisi tumekaza kuwa hatutaongeza ofa yetu zaidi, tumeshatable final offer yetu either Kwa maana ndiyo pesa tuliyo nayo au tunaona thamani ya mchezaji Iko chini kuliko tulivyooffer hivyo hatuwezi kuzidisha. Liwalo na liwe.
Sasa Kuna uwezekano wa kumaliza msimu na kikosi hichi hichi kilichopo
Chelshit, kuna baunsa kala kandarasi hadi 2030 naeHivi umewahi ona wapi mchezaji anagewa mkataba wa miaka 7?
Kisa hawa watu wawili?
'English Tax Theory'. Mchezaji akitakwa Kwa 20m Italy, huyo huyo ni 60m England. Tena Kwa top 4 teams ni 80. Last season au summer tu hapa Mudryk alikuwa aende Brighton Kwa 25m. Miezi kadhaa baadae Arsenal wanamtaka, bei ya mwamba imegonga 80m. Ila kupata kitu Cha ukweli Kwa bei poa pia inawezekana kama Liverpool walivyompata GakpoHua nashangaa timu kama Napoli au Dortmund wanaingia chimbo wanakuletea mtu wa 16M na anawasha moto mpaka chelsea et el watakuja kutoa 100M
Kwamba Arsenal scouting yetu haina connection sana au?
Mi nachukulia Gakpo kama Calvalho tu kama Calvalho hajawafaa hata Gakpo ataonekana wa kawaida. Walilamba bingo kwa Diaz'English Tax Theory'. Mchezaji akitakwa Kwa 20m Italy, huyo huyo ni 60m England. Tena Kwa top 4 teams ni 80. Last season au summer tu hapa Mudryk alikuwa aende Brighton Kwa 25m. Miezi kadhaa baadae Arsenal wanamtaka, bei ya mwamba imegonga 80m. Ila kupata kitu Cha ukweli Kwa bei poa pia inawezekana kama Liverpool walivyompata Gakpo
Mkuu, tulia kwanza!!Hapa nazungumzia kiushabiki kwanzaKisa hawa watu wawili?
Unadeal na mtumba?Mkuu, tulia kwanza!!Hapa nazungumzia kiushabiki kwanza
Mpaka hasira za kukosa tunda kimasihara zitoke.
Mostly of Arsenal supporters tumefura mda huu, kutokana na hii habari.
Kausha kwanza
We need to win the next match that's our priorityMkuu, tulia kwanza!!Hapa nazungumzia kiushabiki kwanza
Mpaka hasira za kukosa tunda kimasihara zitoke.
Mostly of Arsenal supporters tumefura mda huu, kutokana na hii habari.
Kausha kwanza
Yaaaaap, hata na Newcastle, tulihitaji ushindi.We need to win the next match that's our priority