Arsenal (The Gunners) | Special Thread

NAJUA MMEFURAHI..LAKINI MJUE NEXT MATCH NIKO NA NYIEView attachment 2481001
Come on kijana,moja ya makosa makubwa ambayo hamna jinsi ya kuyasahihisha ni kutangulia kucheza na city huku arsenal tunawaangalia.

Kwanini?
Kimsingi aproach mliyokuja nayo leo haitokuwa na tofauti na mtakayokuja nayo dhidi ya mechi yetu.hapo ndipo shida inapoanzia,techinically kuna maeneo wachezaji wenu wamebadilika ila tactically hapo ndipo mechi itakapochezewa.
 
Msimamo wa ligi mpaka kufikia May
1: Manchester United
2: Manchester city
3: Newcastle United
4: Arsenal
Nyie maboya huo👆 ndio msimamo wa ligi msimu huu, napia si hivyo tu Hadi carabao,FA na Europe huyo mwamba hapo juu namba 1 bado anashiriki, hivyo mtajua hamjui msimu huu mechi 8 mfululizo unbeaten and still more suplise to come for the red devil's👍
 
Mmalize shida zenu mapema na kukichukua hicho kituko chenu mudryk kutoka shaktar, ili msitafute sababu nitakapo maliza kumnyoosha crystal palace na kuja kuchukua point zangu 3 hapo Emirates jumapili ijayo, na hatuna utani.

Kama mnafikiria utani, mulizeni man fisi kilichomtokea Leo ndio mtajua hamjui.
 
Mmeanza kuleta ujuaji kama waliokuwa nao LIVERKUKU msimu wa COVID 19 wakihisi wana timu ya maana sana.
Punguzeni mbwembwe,mnaongoza ligi kwa tofauti ya point 5/6 na hata nusu ya msimu hamjaimaliza.
 
Hawa liva wamebebwa na VARechi haijafika mbali wamefumuliwa moja. Yaani kama wiki iliyopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…