Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Katika game 20 za Burnley kafunga goli 2, kabla hajapelekwa kwa mkopo Besiktas.Kuna mzee mmemsajili kutoka uturuki nasikia kwa mkopo
Rice anacheza timu yoyote duniani ht Barcelona, unataka kuaminisha umma Rice hana pass accuracy? You're so annoying!Viungo wavunja kuni ,siwapendi ,napenda DM Kama Partey ,Rodri , Gorginho , FDJ ,
Nipe ubora wa Rice kwa mpira hasa huu tunaocheza ambao unahitaji DM awe na accuracy kubwa Sana ya upigaji pass kuliko kufanya tackling
Huyo acha acheze Aston villa, kwenye position ya Partey tunahitaji mchezaji established, kimo km partey, physical prowess, mental side of the game, aje kufundishwa how to control games thru technical emphasis + Juego de posicion ya kiespaniola, Declan Rice kwangu ni mtu sahihi, naamini tutakuwa na pesa nxt summer. Unajua partey & Rodrigo mbali ya kuwa na vipaji lakini wamepata bahati ya kufundishwa na makocha wa kiespaniola ambao walikuwa wanacheza position hizohizo.Arsenal tunatakiwa kufanya usajili wa Douglas Luiz.
Luiz ni Defensive Midfielder na anaweza kucheza kama CM na CLB kwenye uhitaji. Usajili wa Luiz ni sawa na ingizo la wacheji wawili kwa mpigo maana anaweza ku-offer zaidi.
Luiz anaweza kucheza kama back-up ya Partey, Kucheza nafasi ya Xhaka na kucheza nafasi ya Gabriel tukiwa na uhitaji.
Sijaaminisha umma ,taratibu Will JrRice anacheza timu yoyote duniani ht Barcelona, unataka kuaminisha umma Rice hana pass accuracy? You're so annoying!View attachment 2479677
Arsenal ilishaachana nae huyu Luiz, na aliongeza mkataba mrefu ,Arsenal tunatakiwa kufanya usajili wa Douglas Luiz.
Luiz ni Defensive Midfielder na anaweza kucheza kama CM na CLB kwenye uhitaji. Usajili wa Luiz ni sawa na ingizo la wacheji wawili kwa mpigo maana anaweza ku-offer zaidi.
Luiz anaweza kucheza kama back-up ya Partey, Kucheza nafasi ya Xhaka na kucheza nafasi ya Gabriel tukiwa na uhitaji.
Tulieni mpigwe nyundo ya kichwa huyo Ni pepe part 2Je Kuna wachezaji mbadala ya Mudryk au wa nafasi zingine tunaowasaka dirisha hili? Naona kama tunamfukuzia mtu mmoja tu na wenyewe wana kaza mpaka nadhani mwishowe hatutasajili mchezaji yeyote.
Hapo manyumbu huna winger anayemfikia Pepe RW ,Tulieni mpigwe nyundo ya kichwa huyo Ni pepe part 2
Sawa mchambuzi uchwara, vipigo vikianza huwa unapotea humu Kama nyigu.Hapo manyumbu huna winger anayemfikia Pepe RW ,
Hivi Kuna klabu inanunua magarasa kwa Bei Kama manyumbu?View attachment 2479819