Arsenal hii iiogope Man Utd???.. labda kama hujui mpira.Arsenal kwa sasa anaiogopa Man Utd zaodi kuliko anavyoiogopa City.
Hii kasi tunayokuja nayo imeshaanza kumtia kiwewe, hapo kileleni hana amani kabisa, muda wote anaweweseka akiogopa Utd kuja kumyang'anya tonge mdomoni.
Best CDM epl Ni lokongaHakuna kitu kama hicho.
Hakuna timu ambayo hatuipendi kama Man Utd thus tutakua upande wa City na sababu kubwa ni kwamba mnajiona kama mshakaa vizuri kumbe mna safari ndefu, yani ushindi dhidi ya bottom teams ndo umewapa jeuri.
Tena kwa kuwasifia wachezaji wenu ndo mnaongoza. Leo hii mnakufuru kwa kusema Casemiro ndo best holding midfielder EPL kweli? Eti Rashford ndio top scorer wa mashindano.. dah!
Hii ni kufuru hii.
Na mnaenda mbali zaidi kwa kusema mnataka ubingwa!!
Timu ile ndo ya kugombania ubingwa kweli!
Tumetumia zaidi ya miaka 10 kumsubiri mpinzani wa kweli wa Lionel Messi katika kinyang'anyiro cha tuzo ya Ballon D'or.Hakuna kitu kama hicho.
Hakuna timu ambayo hatuipendi kama Man Utd thus tutakua upande wa City na sababu kubwa ni kwamba mnajiona kama mshakaa vizuri kumbe mna safari ndefu, yani ushindi dhidi ya bottom teams ndo umewapa jeuri.
Tena kwa kuwasifia wachezaji wenu ndo mnaongoza. Leo hii mnakufuru kwa kusema Casemiro ndo best holding midfielder EPL kweli? Eti Rashford ndio top scorer wa mashindano.. dah!
Hii ni kufuru hii.
Na mnaenda mbali zaidi kwa kusema mnataka ubingwa!!
Timu ile ndo ya kugombania ubingwa kweli!
Tumetumia zaidi ya miaka 10 kumsubiri mpinzani wa kweli wa Lionel Messi katika kinyang'anyiro cha tuzo ya Ballon D'or.
Asante sana mkombozi Marcus Rashford, unayoyafanya sasa hayawezekani kwa mwanadamu mwengine wa kawaida ingawa Arsenyani kila siku kabla ya kulala wanakuombea dua mbaya uvunjike miguu yote miwili uwe unatembelea magongo.
Ni vilabu 3 pekee vilivyoshinda Kombe la Dunia la Klabu ya Fifa nchini Uingereza.
1.Chelsea.
2.Liverpool.
3.Manchester United.
Ni klabu 5 pekee ambazo zimeshinda Uefa Champions League nchini Uingereza.
1.Liverpool.
2.Manchester United.
3.Chelsea.
4.Nottingham Forest.
5.Aston Villa.
.ni vilabu 5 pekee vilivyoshinda Uefa Europa League nchini Uingereza.
1.Liverpool.
2.Chelsea.
3.Tottenham Hostpur.
4.Manchester United.
5.Ipswitch Town.
Ni klabu 5 pekee ambazo zimeshinda Uefa Super Cup nchini Uingereza.
1.Liverpool.
2.Chelsea.
3.Manchester United.
4.Nottingham Forest.
5.Aston Villa.
.
.
.
.
.kama unatafuta klabu ndogo kama Manchester City na Arsenal kwenye orodha hii, samahani huwezi kuzipata..
Kila team inaonesha kile ambacho inacho na nyingine haina,, sisi tunalo hiliVipi! Uefa.
Cry more!Best CDM epl Ni lokonga
Sababu uliyoitoa ni uongo sababu yenu ya kuto kuipenda man u ni hii acheni janja janja.Hakuna kitu kama hicho.
Hakuna timu ambayo hatuipendi kama Man Utd thus tutakua upande wa City na sababu kubwa ni kwamba mnajiona kama mshakaa vizuri kumbe mna safari ndefu, yani ushindi dhidi ya bottom teams ndo umewapa jeuri.
Tena kwa kuwasifia wachezaji wenu ndo mnaongoza. Leo hii mnakufuru kwa kusema Casemiro ndo best holding midfielder EPL kweli? Eti Rashford ndio top scorer wa mashindano.. dah!
Hii ni kufuru hii.
Na mnaenda mbali zaidi kwa kusema mnataka ubingwa!!
Timu ile ndo ya kugombania ubingwa kweli!
Wewe ni KSababu uliyoitoa ni uongo sababu yenu ya kuto kuipenda man u ni hii acheni janja janja.View attachment 2478657
Mwaka Juzi Unakufa bao la Auba ,OTWe jamaa kwa rekodi ya miaka mitano sema mmetufunga na mmefungwa mara ngapi
Mara ya mwisho lini uliwafunga United home and away
Kyoma omshaija yaija nebyera byona
Kyoma omshaija yaija nebyera byona
Ahahaaa kyoma wajulisheni wakinamama huko jirani waanze kuchambua mcheleKyoma omshaija yaija nebyera byona
Dogo ana moto balaaMudryk akikamilisha deal anajitangaza mwenyewe kwenye insta yake
He cant wait to join red armyView attachment 2478940View attachment 2478941View attachment 2478942