Sema timu zenye hazina uefa hata moja hizi akili zinakuwa hazipo.Ni kichaa tu ataangalia mechi za Man u, wenye akili tunaangalia mpira mzuri kutoka kwa pep & Mikel, hawa wote walikuwa regista, wote wamepita La masia Barcelona, we kocha wako alicheza timu gani? Pep wannabe who's older than pep himself
Cry me a riverSema timu zenye hazina uefa hata moja hizi akili zinakuwa hazipo.
Halafu ukishakua shabik tu wa Arse88 akili zenu zinakua zinafanana.We Mzee Shit napiga aisee, msimu huu ubingqa nautaka sio kwa utani
allypipi huu ni udhalilishaji.
Sawa mwalimu wa Historia...naona RVP jana katupia goli 2...Manure kubalini nyakati zimebadilika yani mmekua kama wahuni wazamani kujitamba kwingi wakati nguvu kwasasa hawana
Sawa mwalimu wa Historia...naona RVP jana katupia goli 2...Manure kubalini nyakati zimebadilika yani mmekua kama wahuni wazamani kujitamba kwingi wakati nguvu kwasasa hawana
Cheki ulipo maana hata Notingham Forest wanazo 2
Cheki ulipo maana hata Notingham Forest wanazo 2View attachment 2477130
Mmechukuka ubingwa baada ya mechi 17Cheki ulipo maana hata Notingham Forest wanazo 2View attachment 2477130
Kikosi ulichotuma kinapewa guard of honour ndio kilicheza jana na Rasford ndio RVP?Mmechukuka ubingwa baada ya mechi 17
Mzee kwa sasa tumeamua kila mtu ashinde match zake, haya mambo ya dua mbaya kwa mtu tumezifanya kwa zaidi ya miaka 14 na bado hazikuweza kusaidia tupate UBINGWA. CITY Ashinde zake na sisi tushinde zetu, tutaewana mwisho wa Msimu May Huko...Shida arsenal iyo Jumamosi kimoyo moyo mnataman man utd ashinde,maake Pep akipunguza tu gap ya point mbili mmekwisha..
So hata msijitese jitokezeni mseme TUNAOMBA MAN UTD ASHINDE JUMAMOSI
Mkae kwa kutulia, check fixtures ya unyumbu hadi nachoka.Endelea kulariri
Arsenal kwa sasa anaiogopa Man Utd zaidi kuliko anavyoiogopa City.Shida arsenal iyo Jumamosi kimoyo moyo mnataman man utd ashinde,maake Pep akipunguza tu gap ya point mbili mmekwisha..
So hata msijitese jitokezeni mseme TUNAOMBA MAN UTD ASHINDE JUMAMOSI
Fanyeni homework zenu. Kila mtu ashinde match zake, hamna kasi yeyote zaidi ya fixture ilikuwa imekaa vyema kwe u. Sasa mnarudi mlikotoka, mkabanane na Chelsea kule chiniArsenal kwa sasa anaiogopa Man Utd zaodi kuliko anavyoiogopa City.
Hii kasi tunayokuja nayo imeshaanza kumtia kiwewe, hapo kileleni hana amani kabisa, muda wote anaweweseka akiogopa Utd kuja kumyang'anya tonge mdomoni.
Hakuna kitu kama hicho.Shida arsenal iyo Jumamosi kimoyo moyo mnataman man utd ashinde,maake Pep akipunguza tu gap ya point mbili mmekwisha..
So hata msijitese jitokezeni mseme TUNAOMBA MAN UTD ASHINDE JUMAMOSI
Arsenal hii iiogope Man Utd???.. labda kama hujui mpira.Arsenal kwa sasa anaiogopa Man Utd zaodi kuliko anavyoiogopa City.
Hii kasi tunayokuja nayo imeshaanza kumtia kiwewe, hapo kileleni hana amani kabisa, muda wote anaweweseka akiogopa Utd kuja kumyang'anya tonge mdomoni.
Best CDM epl Ni lokongaHakuna kitu kama hicho.
Hakuna timu ambayo hatuipendi kama Man Utd thus tutakua upande wa City na sababu kubwa ni kwamba mnajiona kama mshakaa vizuri kumbe mna safari ndefu, yani ushindi dhidi ya bottom teams ndo umewapa jeuri.
Tena kwa kuwasifia wachezaji wenu ndo mnaongoza. Leo hii mnakufuru kwa kusema Casemiro ndo best holding midfielder EPL kweli? Eti Rashford ndio top scorer wa mashindano.. dah!
Hii ni kufuru hii.
Na mnaenda mbali zaidi kwa kusema mnataka ubingwa!!
Timu ile ndo ya kugombania ubingwa kweli!