THE SHADOW ONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,226
- 2,025
Yaani nyie ni Kima kwelikweli, Mnajizungusha weeeee halafu mwisho wa siku mnarudi palepale kwenye €100 million.
Bahati yenu huyo mchezaji ana mapenzi na Arsenyani, la sivyo mpaka muda huu angekua tayari ameshavaa jezi ya timu nyingine.
Jk alishawaambia ukitaka kula na wewe ukubali kuliwa.Usajili ni kama kamari, kilichotukuta kwa Pepe
Bora wewe umesema ukweli wengine huko wanabeza oooh mchezaji cjui ana gharama Kwa miezi 6 blaablaa blaa nyingiKabisa mkuuuu!!!
Felix alikuwa sio wa kumkosa kama tunautaka ubingwa kweli.
Flano 😃😃😃 tupo mbele ya project mkuu. Imetumika akili kubwa kumpeleka chaka Chelsea kwa Joao Felix alafu sisi tukabaki na mpango wetu.Jk alishawaambia ukitaka kula na wewe ukubali kuliwa.
Shida wala sio Pepekale wenu, shida ni huyo tajiri wenu Kroenke ana mkono wa birika.
Kwa hapo mlipofikia ili kupata muendelezo wa mafanikio huyo bosi wenu anatakiwa afungue pochi, akitegemea ile sera ya mzee Wenger £20m asajili wachezaji 6 mtarudi kulekule mlipotoka.
Haya mmalize msimu arudi kwao mana kashaongeza mkataba huko ATM mpaka 2027, unless km mtataka mpigwe tena mkitaka kumchukua mazima.Bora wewe umesema ukweli wengine huko wanabeza oooh mchezaji cjui ana gharama Kwa miezi 6 blaablaa blaa nyingi
Na bado hawajacheza na city mechi yoyote.Nawakumbusha tu kuna Gap la 5 Points.
We Mzee Shit napiga aisee, msimu huu ubingqa nautaka sio kwa utaniNa bado hawajacheza na city mechi yoyote.
Wewe huna kikosi cha kuifunga city.We Mzee Shit napiga aisee, msimu huu ubingqa nautaka sio kwa utani
Waliomfunga walitola Sayari ipi!? Napiga shit tena naanza nae FA na baada ya hapo Game ya Home napigaWewe huna kikosi cha kuifunga city.
Enzi imewaisha, nyie na Chelsea tofauti ni rangi ya Jezi tuNyinyi misukule ya Arteta mnakaribishwa Old Trafford saa 11:00pm mje mjionee timu kubwa zaidi duniani jinsi inavyotandaza soka la kuvutia na kukongo nyoyo za mashibiki wa soka duniani kote, huenda kuna mambo mkajifunza yakawasaidia kuendelea kusalia kwenye top4 na kufanikisha ile ndoto yenu ya kucheza Uefa kabla ya 2030.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furahaView attachment 2476731
Punguza makasiriko MkoPoka, hizi nongwa zako hazitakusaidia kitu, kunjua moyo wako upate kufurahia burudani ya uhakika kutoka kwa vijana machachari wa Ten Hag.Enzi imewaisha, nyie na Chelsea tofauti ni rangi ya Jezi tu
Punguza makasiriko MkoPoka, hizi nongwa zako hazitakusaidia kitu, kunjua moyo wako upate kufurahia burudani ya uhakika kutoka kwa vijana machachari wa Ten Hag.
Akionyesha kiwango ananunuliwa TuHaya mmalize msimu arudi kwao mana kashaongeza mkataba huko ATM mpaka 2027, unless km mtataka mpigwe tena mkitaka kumchukua mazima.
Ni kichaa tu ataangalia mechi za Man u, wenye akili tunaangalia mpira mzuri kutoka kwa pep & Mikel, hawa wote walikuwa regista, wote wamepita La masia Barcelona, we kocha wako alicheza timu gani? Pep wannabe who's older than pep himselfNyinyi misukule ya Arteta mnakaribishwa Old Trafford saa 11:00pm mje mjionee timu kubwa zaidi duniani jinsi inavyotandaza soka la kuvutia na kukongo nyoyo za mashibiki wa soka duniani kote, huenda kuna mambo mkajifunza yakawasaidia kuendelea kusalia kwenye top4 na kufanikisha ile ndoto yenu ya kucheza Uefa kabla ya 2030.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furahaView attachment 2476731
Make kwanza nichekePunguza makasiriko MkoPoka, hizi nongwa zako hazitakusaidia kitu, kunjua moyo wako upate kufurahia burudani ya uhakika kutoka kwa vijana machachari wa Ten Hag.