Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hatimae hangover imeisha.
Jukwaa lilikua limepoa hili, habari za Mudryk tulikua hatuzipati tena.
Vipi Shakhtar wamefikia wapi juu ya chezaji letu la Ballon d'Or?
Huyo Ni Mali ya Arsenal

Shakhtar wanasema haiwezekani Anthony uwezo mdogo auzwe €100m, hoja Yao ipo hapo


Leo wamegusia Tena,wanasema Napoli wanamtaka

Shakhtar director Carlo Nicolini: “Napoli have asked about Mudryk. His price? Look at Antony’s fee. The problem with Italian clubs is that they don’t take the chance when they should. Look at Enzo, Milan could have signed him and now he’s worth 100m”
 
Mimi nipo tofauti kidogo
Leo Chelkenge afe tu, akifa za kutosha (mkono) itakua poa
Kelele za kenge zimekua too much ukiachana na hali ngumu aliyonayo

Ikitokea sare /draw itakua POA ZAIDI

Haiwezi kutokea Kengez akapata matokeo leo

Tunabeba Ndoo kwa mfumo huu huu kila mtu ashinde mechi zake
 
Hii ya Cesc kurudi Kama Kocha U18 Kule na kina jackwilshere

Mmeichukuliaje?
Project ya Arsenal inavutia Cesc kwona arudi nyumbani ni mtu ana njaa ya mafanikio. Ingawa maoni ya wengi wanamuona kama "snake". KSE pamoja na Edu wanahitaji watu wakujitoa na wenye njaa.

Binafsi safi sana mkuu Aaron Arsenal
 
Mkuu sijui utajiteteaje na kwenye mechi na man u maana umepiga domo kweli Newcastle ulisema utapiga goli nyingi sababu man u aliipelekea moto vipi sasa wewe umeshinda?
 
Project ya Arsenal inavutia Cesc kwona arudi nyumbani ni mtu ana njaa ya mafanikio. Ingawa maoni ya wengi wanamuona kama "snake". KSE pamoja na Edu wanahitaji watu wakujitoa na wenye njaa.

Binafsi safi sana mkuu Aaron Arsenal
Sawa sawa ,jamaa hajawahi kutoa shit Kama van persie

Naona karudi kiroho Safi, hata alivyotoka Barca aliomba kurudi ,Wenger akamgomea ndio akaenda Chelsea
 
Binafsi naomba Chelsea washinde ,hata kusogea juu wasogee ,sio Hawa manyua

Ona Sasa Hivi Baada ya papatu papatu wanakwambia wanataka ubingwa

Sasa kiuhalisia ,BINGWA kwa ule mpira kweli?tukiongewa wanasema tuna chuki

Mimi nijuacho soon wanarudi chini

Chelsea hawana madhara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…