Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Newcastle undefeated in 13 consecutive matches since Liverpool defeat on 31 Aug 2022 at Anfield
 
Asante kwa hizi taarifa, maana kuna mashabiki humu wanavyochambua ile game na Newcastle utasema Arsenal haawakufanya kitu kabisa uwanjani, wanadai wachezaji walikua poor kabisa. Kuna mijitu bure kabisa, mpira wenyewe haijui, ooh martinel hakuwa na maamuzi! takataka kabisa
 
Aliyoyaongea yote Pundit wetu Mzee Ambigile Mwasapile ni sahihi kabisa ila alichokosea ni hapa:

"ATAKAYEMALIZA JUU YA ARSENAL NI BINGWA "

Nina uhakika kuna timu zaidi ya 2 zitakazo maliza juu ya Arsenal, je Epl ya msimu huu kutakua na mabingwa zaidi ya wawili?
 
We jamaa bhana 😆😆😆
 
Mara paaah mudriky to Chelsea ,,,,

Siku hizi watu wanafata hela, hakuna mapenzi Tena kwenye football,,,,

Personal terms sio hoja , wekeni mzigo chap chap !!!
 
Dah ndio maana Mimi matokeo Kama haya nakaaga kimya kwanza watu waoongee kwanza

Arsenal Ile mechi alipiga mpira ambao Ni timu chache Sana zitatoka salama

Eddie Howe anajifanyaga anatembea na 4-3-3

Ila ilibidi abadili kwenda 5-4-1

Akafanya pia Saka na martinel wasiwe 1v1

Saka alikuwa anazingirwa na watu wawili au watatu ,same to Martinell

Perfomance Kama Zile kwasisi ambao tunaangalia Zaidi ya matokeo lazima ujivunie

Niliona performance Kama Zile dhidi ya mancity pale Emirates last season na dhidi ya Liverpool pale Emirates ,zote tulipoteza ,ila Zile performance niliamini tunaenda kupigania UBINGWA ,


Toka preseason nilikuwa nikisema tunapigania ubingwa Kuna watu waliona vichekesho ,


Sasa Performance Kama ile dhidi ya Newcastle ,Ni dhahiri Kuna timu kibao zitachezea vipigo

NDICHO PEP GUARDIOLA Kilichomuogopesha

Sio Pep wote wapenda mpira wameingia na wasiwasi mkubwa Sana,

Maana Newcastle alianza kupoteza na muda ,akaona point 1 tamu,

Bado Arsenal aliendelea kupeleka Moto tu

Hapo Penalties 2 zimekuwa muted
 
Ugopa Sana mtu anayekusifia ,Tena mbele ya media ....
Sio kusifia ,ule Ukweli halisi,

Hata Mimi Arsenal ,ile perfomance niliigopa

Newcastle alikuja na 4-3-3 ,alijikuta analetewa Moto tu akabadili 5-4-1

Moto ukaendelea tu

Kwa mpenda soka ,lazima ataelewa kwa perfomance Kama Zile ,Ni wachache watapona ,ndicho wengi walichokiona sio Pep tu
 
Hatimae hangover imeisha.
Jukwaa lilikua limepoa hili, habari za Mudryk tulikua hatuzipati tena.
Vipi Shakhtar wamefikia wapi juu ya chezaji letu la Ballon d'Or?
Huyo Ni Mali ya Arsenal

Shakhtar wanasema haiwezekani Anthony uwezo mdogo auzwe €100m, hoja Yao ipo hapo


Leo wamegusia Tena,wanasema Napoli wanamtaka

Shakhtar director Carlo Nicolini: “Napoli have asked about Mudryk. His price? Look at Antony’s fee. The problem with Italian clubs is that they don’t take the chance when they should. Look at Enzo, Milan could have signed him and now he’s worth 100m”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…