Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Benchi World cup limemuharibia , nadhani atarudi sawa kuanzia Sasa,
 
Eddie Howe doesn’t like facing Arsenal.View attachment 2468019
Kipindi hicho Nyukesto ilikua tiamaji tiamaji, sasa hivi Newcastle imekamilika kila idara wapo kikazi zaidi ndio maana watu wenye uono wa mbali kama mimi tulishawaweka kwenye Title Contender mapema kabisa tokea mechi yao ya 3 kwenye Epl.

Saa 10:45 sio mbali, tulieni msubiri kipigo kwa mbwa koko kutoka kwa another side of United.
 
Saliba ana nafasi kubwa ya kupata Yellow

Pia Arsenal wanataka kufikia mechi na Spurs , Mudrky awe tayari ndani ya Emirates

So Kama itatokea Saka atakosa mechi moja , Basi tutegemee kumuona Mudrky maana hata RW anacheza
 
Endelea kupiga ramli

Baadae uje useme ohoo nilikuwa natania

Kwasasa Bora jehanum Lakini sio Emirates
 
Eddie Howe. (Newcastle Coach)

(Kila Kocha Hafurahii Akutane Na Arsenal Ya Sasa Hivi, Angetamani Akutane Na Arsenal Ya Miaka
Iliyopita, Kuna Timu Nyingi Bora Msimu Huu Ila Ikikutana Na Arsenal Wao Ndo Wanakutawala Kila Kitu Na Huwezi Kumlaumu Kocha Au Mchezaji Kisa Umepoteza Kwa Arsenal)

#Lipowazi
 
Hili jukwaa linachangamsha sana.
Hapo kwenye Arsenal NDOO umesahau ilitakiwa uanze na KO ndio italeta uhalisia, yaani ilitakiwa isomeke:

Arsenal KONDOO
Haaland KIATU


# Hatucheki na Kima
Flano endelea kutusumbua tu


Ila soon tutawapiga Gepu la point 20 ili ukauke kuja humu

| Bernardo Silva:

“The way they [Arsenal] play, they are connected to the game and they are always alive. That is very dangerous when your rival is playing that way.”
 
Huu ndo ukweli kabisaaa
 
Mechi km hizi tunamuhitaji zaidi Zinchenko sababu ya ufundi wake kuliko Tomiyasu, kwenye kudefend na duelling Tomi yupo haraka kuliko zinny, Tomi mechi za nyumbani anafanya vizuri Zaidi km ile ya Liverpool aliyomuweka Salah mfukoni, hata mechi hii naamini akipangwa anamuweka Almiron mfukoni, Lakini Tomi akiwa na mechi mbovu kama ile dhidi ya Leeds united anaenda kuwa pressing trigger. Newcastle wana high intense km Leeds united so wanaweza kucapitalize upande wa Tomi kuliko kwa Ben White. Zinny akianza upande wake unaweza kuwa njia sababu ya ubora wa Winger za Newcastle ila sababu tutawin possession haitakuwa shida sana na tukiwa na mpira lazima walowe.
 
Of course you're right
 
Newcastle wanapress 433 narrow block km liverpool ila FBs wao hawaendi kusaidia press wanabaki chini, wings zao zinapress CBs maanake FBs wetu wanabaki free na ndio maana naona Zinny ni vizuri aanze na naamini Eddie howe asipochange approach yake tukiwa na mpira Zinny atacheza sn kwenye midfield kuoverload, sasa Zinny ukimpa time on ball what next?? Newcastle kitachowabail out leo ni physicality yao na Kutegemea Transition km game yetu dhidi ya Man u.
 
Endelea kubwabwaja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…