Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,005
- 7,375
Sioni mchezaji wa kumuweka Martinelli benchi. Mudrky amezoea kucheza farmers league ndio aje kumweka mzoefu wa kazi za epl? Mimi nategemea Mudrky akija ataanza kuwika baada ya misimu miwili.Felix wanataka aje acheze False 9, pia kuongeza depth ya kikosi
Mudrky anakuja kucheza LW , Martinell kazi anayo
Kuna Smith Rowe ameanza Full training tayari , huyu Kule LW ,AM kwa Øde anapaweza vzr tu,
Kuna Fabio Vieira huyu AM kwa Øde anapaweza vzr ,pale kwa Xhaka anacheza ,Kule RW kwa saka anapaweza pia
Nionavyo Usajili wa Mudrky na Kama atakuja Felix ,akifanya vzr ,summer tumchukue jumla ,then Tutafute DM , LCB Basi .
Tutakuwa na kikosi kipana katika Defense, Midfield na Attacking
Felix namuona mchezaji wa kawaida sana maana kama ligi soft ile ya Spain ameshindwa kuwika ndio ataweza huku epl kwa wavunja kuni? Anyway, ngoja tumuamini arteta na edu kwenye maamuzi yao.