Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Yaani ile mechi ya OT imewapa kiburi Sana, japo ile mechi ilikuwa mwanzoni ,sikuondoa matarajio ya kugombea ubingwaMan city tukimnyuka game moja...na tukamuacha point 12 nyuma hatupati kamwe
Niliangalia ile performance ,nikasema wengi hawatapona
Sasa pale Emirates Kuna utaratibu upo siku hizi, mashabiki Wana push Sana matokeo ,hivo uwe unajua hujui , Kuanzia Kwa xhaka Ode Martinell saka wanakuja Kama nyuki
Kwasasa ndio uwanja wenye atmosphere hatari ,
Liverpool Ni mbabe Sana ku press ,tulimsaka Lile goli la 3 ,ilipigwa piga nikupige had penalty ikatokea ,then tukatulia tukamaliza mechi
Sasa man u Kama pale OT alipata zari la Lokonga kupiga pass ovyo wakapiga kaunta , Emirates hiyo nafasi haipo , Kama unakumbuka tukiwa 1-1 tuliwasaka Sana wakarudi nyuma , kabla lokonga hajachoma ,Safari Partey Xhaka Zinny ndani