Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tajiri muhaho wa ChelKenge kavamia dili la Felix ,baada ya kuonekana Atletico wapo tayari kumuachia kwa mkopo


Todd Boehly is believed to be willing to move fast for a deal, with Spanish sources expecting a loan offer plus option or obligation. (@mcgrathmike)
 
Atletico wamekubali kumtoa Felix kwa Mkopo Hadi mwisho wa msimu


Vita inaenda Sasa Kati ya man u na Arsenal


Atletico now open to loaning Felix till the end of the season

(@partidazocope
tier1)
Vita gani sasa hio unayoizungumzia hapa wakati wewe mwenyewe ulisema kwa kinywa chako kua wakala wa Felix, Jorge Mendez hawezi kukubali tena kufanya biashara na Man Utd baada ya ule mgogoro wa Ronaldo?
 
Mimi ni Arsenal ila jamaa huwa unanifurahisha sana hahaha!
 
ARSENAL BID FOR MUDRYK?

Ihor Tsyhanyk reporting that The Gunners have sent an official proposal for the player to Shakhtar albeit the fee is currently secret

However Tsyhanyk adds that the fee is more than adequate and a very interesting one

No news on Shakhtar reaction to bid
 
Vita gani sasa hio unayoizungumzia hapa wakati wewe mwenyewe ulisema kwa kinywa chako kua wakala wa Felix, Jorge Mendez hawezi kukubali tena kufanya biashara na Man Utd baada ya ule mgogoro wa Ronaldo?
Hizo Ni few factors zinazoweza kuzuia Dili, Lakini sio Sababu zenye nguvu Kama mchezaji akitaka kwenda sehemu anayotaka

Kuna Article nilisoma hiyo Ni moja ya Sababu ,nyingine Ni Felix kutaka kucheza mpira mzuri

Ila tayari Kuna habari kutoka Telegraph inasema Baada ya ATM kulegeza masharti tajiri wa Chelsea kavamia Dili
Tajiri muhaho kavamia dili la Felix


Todd Boehly is believed to be willing to move fast for a deal, with Spanish sources expecting a loan offer plus option or obligation. (@mcgrathmike)
Huyu jamaa Tajiri wa Chelsea Ni mwehu. ..,yaan kesho anaweza akamaliza biashara ,labda Felix akatae

Hii January kashatumia nadhan €130m inafika , kachukua nkuku 60 , Datro fofana 10 , Santos 20 , anamlizia Beki wa Monaco 40

Hapo summer katoka kutumia €300m


Maamuzi yanabaki kwa mchezaji sasa
 
Ile summer tuhesab ile hela imepotea. Sahiv tunahakikisha deal zote tunakamilisha mapema + Uwepo wa new recruitment team sidhan kama tunasajil tena kwa mihemko. Ndio maana
Badiashile usajil wake probably utakuwa umependekezwa na Lawrance Stewart ambae anajiunga kama Technical director mwez feb akiungana na Christopher Vivel ambae amejiunga recently


Nkunku ni kwa ajili ya summer,
 
Tajiri wenu yule kwake hasara roho
sio pesa

Yaani hii January hamna hamna kashamwaga Kama €100m+
 
Arsenal are the main candidates for Felix along with United. Arteta feels Felix can elevate his side. Chelsea are in contention but further behind

(@MatteMoretto
) - TIER 1
 
Flano


Newcastle wapo serious na hii league kuzd hata Manchester united
Mkuu unaiwazaga sana Manchester united sana mkuu naona toka enzi za kichapo cha goal 8 zile zilienda na akili zako zote mkuu.

Mkuu ichi kipigo kilishaenda na akili zako kabisa hivi mkuu Aaron Arsenal hii siku ulijisikia vipi maana naona imekuachia jeraha kubwa sana moyoni mkuu!
 
Kwani uongo nimeongea hapo?

Newcastle wapo serious kuliko unyumbuni

GD 0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…