Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Newcastle huyu huyu?last season akatuvua nguo?inawezekana may be sababu Arsenal pia ipo juu kwa kiwango but Newcastle hii ambayo imepoteza one game na tena dk ya 98 vs Liverpool sio ya kuipuuzia hata kidogo
Hizi kauli za kukata tamaa baada ya kuona uhalisia wa mambo ulivyo Arsenyani wenzako hawapendi kuzisikia, sasa hivi utaanza kuporomoshewa matusi na kuitwa mamluki.
Jukwaa hili kila kitu kinachoongelewa humu hata kama ni cha kufikirika unatakiwa ukisupport kwa nguvu zote, ndio maana mashabiki wa Arsenyani hua tunawaita misukule.
Hata ukiambiwa Arsenal 5 - 0 Newcastle unatakiwa useme Tawireeeee.
 
Newcastle huyu huyu?last season akatuvua nguo?inawezekana may be sababu Arsenal pia ipo juu kwa kiwango but Newcastle hii ambayo imepoteza one game na tena dk ya 98 vs Liverpool sio ya kuipuuzia hata kidogo
Sijaipuuzia ,ila game zao naangalia , Arsenal unayoisema ilikuwa na Nuno tavares, Cedric ,beki holding mbele nketiah

Huyu huyu Newcastle pamoja anavyoshinda ,jitahid kufatilia na wanavyocheza angalia na Arsenal tunachezaje


Hawa hawa Newcastle walipelekewa moto na man u ,why sisi tushindwe na tutakuwa Emirates

Naipa Arsenal 70% za kushinda
 
Kihalisia Newcastle huwa Ni mteja wa Arsenal miaka nenda Rudi

Arsenal hii Nan haiogopi ,Tena Emirates pale ?

Yaani Nikae namuwaza Newcastle kweli?

Mpinzani wetu mkubwa Ni man city

Manyumbu ndio mpambane haswa kufika Top 4 , sijui mtamtoa Nani


Newcastle

Spurs

Hamna uwezo wakuwatoa hapo
 
Dah Mkuu
 
Let's wait and see bro but narudia kusema Newcastle ya sasa sio ya kubahatisha hata kidogo tena katika 3 games to come hyo ndio tough game kwetu
 
Dah unatakiwa umuwazie Man City tunamuachaje point za kutosha


Tuliambiwa Spurs Ni title contender ,yupo wapi Sasa hivi?

Leo clear points 13 tunamuacha

Sasa Newcastle huyu anakuja Emirates ,sio Arsenal ile aliikuta ya Cedric ,Tavares ,holding, nketiah CF , Partey injury

Najua atajifanya abishane kutaka kucheza mpira ,ndipo ataelewa vzr


Hivi Kuna timu iliyobeba points kwa hao big 6 Kama Brentford?

Arsenal tulimfanya Nini ?

Oya Tuangalie mancity tunatanua vipi gepu la points
 
Let's wait and see bro but narudia kusema Newcastle ya sasa sio ya kubahatisha hata kidogo tena katika 3 games to come hyo ndio tough game kwetu
Sijakataa kuwa Ni tough game ,kwani Kuna mechi gani epl Ni nyepesi


Mimi EPL hasa miaka hii ambayo Hadi wolves ana spend €150m

Forest €150m

Sijaona bado mechi nyepes aisee

Brentford katembeza vichapo kwa hao big 6 vizuri kabisa bila wasiwasi
 
Sawa Mkuu tusubiri tuone game itakuwaje hyo siku
 
(
) William Saliba & Oleksandr Zinchenko are both with the Arsenal squad, however, there was no sign of Takehiro Tomiyasu.

(@Teamnewsandtix)- RELIABLE
 
Hi Race tumebaki na Man u , kitakachobaki kukubaliana term za Mkopo na kumshawishi mchezaji


️The feeling is that the clubs (Arsenal,United) are waiting for Atletico Madrid to change the terms of the Felix deal as the Spanish club wants over 100m euros

(@FabrizioRomano
)
 
Kwa hiyo Arsenal imeimarika msimu huu, na Newcastle ipo kama msimu ulopita???
Arsenyege bhana!!!!!
 
Atletico wamekubali kumtoa Felix kwa Mkopo Hadi mwisho wa msimu


Vita inaenda Sasa Kati ya man u na Arsenal


Atletico now open to loaning Felix till the end of the season

(@partidazocope
tier1)
 
Una uhakika mtatoboa mbele ya sisi watu wa unyumbuni kwa kumwaga mkwanjwa.
Hapo ni loan tu

Shida inakuja kwenye kumshawishi mchezaji kuhusu mazingira ya kucheza afurahie

Kumbuka alikuwa kwenye mpira makande mpira magimbi

Dunia ya mpira inaamini huyu Dogo alipotea njia kwenda kwa Simeone


Swali linakuja , Ataelekea man u hii ambayo haina tofauti kubwa kiuchezaji na Atletico ?
 
Kw

Kwangu hao bado hawakupi anachotoa partey
Na hata sokon huwez kupata kwasasa Kama Partey ,ila Elneny anaweza kutimiza majukumu vzr

Kumbuka mpira wa Sasa Ni majukumu zaidi,

Hata Partey alipofika arsenal alikuwa ovyo Sana , kabla hajawekwa sawa na kuanza kutoa Performance nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…