Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bwege
 
Hili Linkingwa kweli
 
| Arteta kuhusu kama Saliba atacheza dhidi ya West Ham:


"Wacha tuone - hiyo inategemea jinsi atakavyorudi pia. Tuna data ya kile alichokifanya katika mazoezi huko timu ya Taifa, na kwa suala la dakika halisi hakushiriki sana.Hebu tuone, akirudi tutafanya uamuzi.


[@arsenal]
 
Yaan leo hii Pep asadiwe na huyo mbugila kushinda games! Mmerogwa nyie.
 
Ndio maana Kuna watu Wana chuki humu na Arteta kuirejesha Arsenal icheze Sex football

Leo na Jana Kuna habari ya Felix kuhitajika na Man u na Arsenal

Sasa Felix aliyekuwa kwenye Haram football kwasasa anataka timu offensive inayocheza kwa kueleweka , hivi anaweza kufanya kosa Tena kwenda man u ?


Soma hizi habari

️"It’s true they had conversations with his agent, Jorge Mendes.

“But it depends on the conditions of the deal because if it’s more than €100million, I think it is going to be difficult.”

- @FabrizioRomano
on Arsenal and Joao Felix

(@GiveMeSport)

Joao Felix negotiations are at a close. It's between Arsenal and United

(@AlexisBernard10 exclusive)


His Exclusives are reliable usually.
 
Arsenal and City have the furthest forward defensive lines in the PL. United have the deepest

(via @markrstats ,
 
As per @calciomercatoit
, Juventus are nervous that Arsenal will bid for Rabiot in January and an offer of 15m is something they cannot refuse as he will soon be a free agent.
 
Arsenal and City have the furthest forward defensive lines in the PL. United have the deepest

(via @markrstats ,View attachment 2457176
Ajabu ni pale mtu anacompare Varane+Martinez dhidi ya Saliba + Gabriel ikiwa stats zinaonesha timu linaongoza kwa kupaki bus kwenye ligi, timu linapaki bus kuzidi Everton & Wolverhampton, yaani Tanzania prisons la ulaya, wajelajela original.
 
Haha 🤣😂 wajela jela gwaa...
 
| @FabrizioRomano on Mudryk and #Arsenal:

“Arsenal have a feeling that Shakhtar could maybe accept €60m/€65m [£52m/£57m] to find the right package to include maybe some add-ons to find some smart formula to sign Mudryk.”

[@GiveMeSport] #afc
 
Kuna sauti inaniambia hii January tunashusha vyuma viwili had vitatu


Mudrky main target ,Mazungumzo yanaendelea vizuri ,Mchezaji ana push deal limalizike


Deal la Joao Felix , PSG kajitoa , tumebaki Arsenal na Man u

Formula ya deal ina vipengere hivi

1.Mkopo wenye masharti ya lazima kumnunua kwa €120m/130m

2.Mkopo wa miezi 6 pia ulipe full salary yake ya £265k per week na ulipe loan fee £9m

UGUMU WA DILI LA JOAO FELIX UPO HAPO , Kwenye kipengere Cha Loan with cumpusory/obligation to buy ,yaani unamchukua kwa mkopo lakin June lazima ulipe €120/130m

Arsenal wanamtaka kwa mkopo ila wenye kipengere Cha Loan with option to buy, yaani mkopo wenye kuchagua kumnunua au kutomnunua

Kwa mujibu wa Duncan Castles ambaye Ni mtu wa karibu Sana na wakala wa Joao Felix bwana Mendes , anasema Arsenal na man u ndio wamebakia kwenye hili dili na Arsenal Wakiwa mbele zaidi.

Tusubiri tuone Nini kitatokea January hii
 
Our project now inajiuza yenyewe haihitaji kutumia nguvu kubwa kumshawishi mchezaji aje

Juzi Lisandro Martinez anasema alishakubali kuja Arsenal , ila Sababu tu ya Ten hag anamuheshimu walifanya nae Kaz Ajax ,akaelekea unyumbun
 
HILI DEAL SOON TUTEGEMEE BREAKING NEWS

.@FabrizioRomano (Mudryk)

“Arsenal have a feeling that Shakhtar could maybe accept €60m to €65m to find the right package to include maybe some add-ons to find some smart formula to sign Mudryk.”
 
Kuanzia asubui ya leo sijabanduka kwenye luninga ili kuangalia Highlights zote za ligi kuu tangu msimu uanze hadi iliposimama

Tunakumbushana tu kama nawewe Una wasaa basi waweza kutulia na kucheki game zote, super sports

Kwa upande wa Arsenal wamefikia game hii, kama ulikuwa unajiuliza ni namna gani Arsenal alikaa juu kwenye msimamo basi muda wako ndio huu
 
Huyu Leao moto wake mkali weweeeeeeee.....dah hiii ni mashine ya kazi namchagua huyu mbele ya hao wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…