computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
RVP kascore mno kwa team yetu ya Arsenal but nahisi big problem ni jinsi alivyoondoka Arsenal na kushangilia kwa dharau alivyotutoboa hapo watu wakafunga vioo kwakeKwa nini RVP amekuwa karibu zaidi na Man U kuliko Arsenal ambayo inemkuza kisoka na amekaa miaka mingi mpaka kuvaa kitambaa cha unahodha?
Man U RvP anapendwa sana na kupewa heshima kama Legend ila mashabiki wa Arsenal wenginksma wamepotea fulani hivi. View attachment 2451437
Weweeee nunua DSTV...Mbona mashabiki wa arsenane njaa njaa sana. Naambiwa hii ni ID ya siri ya Aaron ArsenalNdugu wazee, wakati tukirejea kwenye msimu wa mpira baada ya World Cup naomba mnisaidie link ya kutazama mpira online. Ile link ya Domain Seized by Law Enforcement tuliyokuwa tunatazamia mpira imefungiwa rasmi na magaidi. Natanguliza shukrani.
View attachment 2451423
Yacine tvNdugu wazee, wakati tukirejea kwenye msimu wa mpira baada ya World Cup naomba mnisaidie link ya kutazama mpira online. Ile link ya Domain Seized by Law Enforcement tuliyokuwa tunatazamia mpira imefungiwa rasmi na magaidi. Natanguliza shukrani.
View attachment 2451423
Mkuu unaota!!!!! Yaani McAllister aje Arsenane!!!!! Toka lini mkaweza kununua mchezaji aliyeshinda world cup!!! Nyie endeleeni kusajili vitoto vya form four B failure.Alexis Mac Allister ni moja kati ya wachezaji ambao ningependa tupambane sana kuwapata, ni kiuongo wa kati ambae anaweza akawa amebakiza vitu vichache kufikia ukamilifu.
Kwanza, anaweza kucheza kwenye hatua zote za kupanga mashambulizi (ya kwanza mpaka ya tatu).
Kwenye hatua ya kwanza (kwenye eneo letu chini kabisa) ubora wake upo kwenye kuchukua mali bila presha na kugeuka na kutoa, pia ni 'press resistant' (anaweza kukwepa presha ya kukabwa).
Kwenye hatua ya pili (katikati) ubora wake ni kwenye kupiga pasi na kucontrol tempo ya mchezo (anaweza akaamua tucheze kwa kasi ya kiwango gani) sio volume passer (mpiga pasi nyingi) lakini anaweza sana kupiga pasi fupi fupi na za mbali.
Kwenye hatua ya tatu (kwenye 1/3 ya mwisho ya adui) , anaweza kufanya mikimbio ya ndani ya box na kushambulia, japo hafanyi kwa kiwango kikubwa ila anafanya kwa kiwango chake.
Tuna utajiri wa namba 8 kwenye kikosi chetu, Ø, Smith-Rowe, Fábio Vieira, Nwaneri, Patino ila Mac Allister ni watofauti, anaweza kuleta vitu vingi mezani.
Sio tu alivyowatoboa, na msimu wake wa kwanza united akabeba ndoo. Hata kama ni wewe lazima ungeona kule kwa wenger ulikuwa unapoteza muda.RVP kascore mno kwa team yetu ya Arsenal but nahisi big problem ni jinsi alivyoondoka Arsenal na kushangilia kwa dharau alivyotutoboa hapo watu wakafunga vioo kwake
Jamaa aliwaheshimu sana,msimu wa kwanza aliwapiga nje ndani kama sikosei na wala hakushangilia hata kidogo.RVP kascore mno kwa team yetu ya Arsenal but nahisi big problem ni jinsi alivyoondoka Arsenal na kushangilia kwa dharau alivyotutoboa hapo watu wakafunga vioo kwake
Jamaa aliwaheshimu sana,msimu wa kwanza aliwapiga nje ndani kama sikosei na wala hakushangilia hata kidogo.View attachment 2452137
Msimu uliofuata baada ya kubeba ndoo mkawa mnamshambulia mitandao hata tulipokutana mkawa mnamzomea kila akigusa mpira mpaka akatoka mchezoni mkasahau magoli yote aliyowafungia ,jamaa alivyopata chance Moja ya kuscore alishangilia kwa hisia sana mimi nilifurahi mno kibanda umiza jinsi alivyolipiza kisasi.View attachment 2452144
View attachment 2452145
Pia tungepata mtu kama Kola Muani kama mbadala wa JesusAlexis Mac Allister ni moja kati ya wachezaji ambao ningependa tupambane sana kuwapata, ni kiuongo wa kati ambae anaweza akawa amebakiza vitu vichache kufikia ukamilifu.
Kwanza, anaweza kucheza kwenye hatua zote za kupanga mashambulizi (ya kwanza mpaka ya tatu).
Kwenye hatua ya kwanza (kwenye eneo letu chini kabisa) ubora wake upo kwenye kuchukua mali bila presha na kugeuka na kutoa, pia ni 'press resistant' (anaweza kukwepa presha ya kukabwa).
Kwenye hatua ya pili (katikati) ubora wake ni kwenye kupiga pasi na kucontrol tempo ya mchezo (anaweza akaamua tucheze kwa kasi ya kiwango gani) sio volume passer (mpiga pasi nyingi) lakini anaweza sana kupiga pasi fupi fupi na za mbali.
Kwenye hatua ya tatu (kwenye 1/3 ya mwisho ya adui) , anaweza kufanya mikimbio ya ndani ya box na kushambulia, japo hafanyi kwa kiwango kikubwa ila anafanya kwa kiwango chake.
Tuna utajiri wa namba 8 kwenye kikosi chetu, Ø, Smith-Rowe, Fábio Vieira, Nwaneri, Patino ila Mac Allister ni watofauti, anaweza kuleta vitu vingi mezani.
Pia tungepata mtu kama Kola Muani kama mbadala wa Jesus
Kolo muaniPia tungepata mtu kama Kola Muani kama mbadala wa Jesus
Ila mtu, ile height, age na movements zake yuko njema.Kolo muani
Mikel Arteta joined Arsenal as head coach #OnThisDay in 2019.
Since then, he has playedgames and wonof them.
He also has two titlesto his name.
Genius
View attachment 2452622
Hakuna cha nyoka wala nini, Arsenal wachezaji wengi wakitoka wanapachukia mana hapana mafanikio. Hata leo hii ukiwauliza akina Fabrigus, A.cole, Giroud,Nasri nyumbani ni wapi, hawatakutajia Arsenal.Huyu anahesabika Kama nyoka ,hata yeye analijua Hilo , hawezi kujisogeza Arsenal ,
Dogo una chuki na Arsenal paka inakupa uchizi, so Edu Gaspar, Pires, Adams, Arteta, Henry, Viera wanaichukia Arsenal? au unadhani Arsenal ni Nasri, Adebayor na Van persie tu?Hakuna cha nyoka wala nini, Arsenal wachezaji wengi wakitoka wanapachukia mana hapana mafanikio. Hata leo hii ukiwauliza akina Fabrigus, A.cole, Giroud,Nasri nyumbani ni wapi, hawatakutajia Arsenal.
Nimeangalia mechi zake atasumbua sana siku za karibuniIla mtu, ile height, age na movements zake yuko njema.