Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ulitakiwa kuwa shabiki wa man city maana hizi ndio tabia zao.
 
antony, raphinya, rodrigo

Hao wote kiuwezo hawamfikii martinel
Kwanza martinel ana nidhamu ya mpira
Anacheza kitimu
Anaweza kukaba
Anaweza kuzuia
High speed
Martinel ameonesha impact kubwa kuliko hao kwenye level za klabu

Matokeo haya Brazil wamestahili
Mtu isipomfaa akili, utamfaa ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…