Arsenal (The Gunners) | Special Thread

18' | A high-tempo start so far.

A lot of players wanting to impress before the Premier League restart. [emoji2369]

[emoji837] 1-0 [emoji836]️ | #AFC #A
 
Well, that was an entertaining first half of Arteta ball!

The #Arsenal have a 3-0 lead over Lyon.

Goals:

• Gabriel - 19’
• Nketiah - 33’
• Vieira [emoji573]- 39’
 
Arsenal make 9 changes and have brought on Hale End:

IN: Nwaneri, Foran, Lewis-Skelly, Smith, Walters, Cirjan, Butler-Oyedeji, Cozier-Duberry, Sousa

OUT: Tierney, Gabriel, Holding, Soares, Ødegaard, Nketiah, Elneny, Lokonga, Nelson
 
Mpira Umekwisha 3-0 Lyon

[emoji460] Gabriel
[emoji460] Nketiah
[emoji460] Fábio Vieira

Penati 2-1 Lyon
[emoji3581][emoji3581][emoji777][emoji777][emoji777] Arsenal
[emoji777][emoji3581][emoji777][emoji777][emoji777] Lyon

Golikipa Karl Hein ameokoa penati 4 za Lyon.

Tumepata jumla ya alama 4 kwenye mchezo wa leo baada ya kushinda kwenye dakika 90 na kwenye penati.

Sheria za Dubai Super Cup, baada ya dakika 90 bila kujali matokeo timu zitaingia kwenye mikwaju ya penati kwa ajili ya kutafuta alama za ziada.

Ushindi: alama 3 na zaidi.
Droo: alama mbili kwa timu zote.
Mshindi wa mikwaju ya penati: alama moja ya ziada.

Timu itakayo kusanya alama nyingi baada ya mechi mbili itabeba kombe la Dubai.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…