Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna Kenge la ChelKenge litanuna
 
Aliyeibeba Atletico Ni Luis Suarez

Joao Felix hapo Atletico amepoteana ,huwezi kwenda timu yenye mentality ya Kuzuia tu.

Hiyo Atletico ilikuwa na Rodri & Partey lakini inapaki Basi
Atletico ipi inapaki basi? Labda unaona UCL peke yake ila kwenye La Liga formation ni 3-1-4-2 meaning mabeki ni 3 pekee wengine wote ni attack minded so ni tofauti na mitazamo ya wengi mnaoangalia UCL pekee na kujudge vilabu.

Kingine, Suarez ni mfungaji tu alibebwa na Felix, Lemar and Llorente in terms of assists na kufungua defence Ili Suarez apewe mipira kwenye box.

Anyway Murdyk is nothing compared to Felix kwa Kila kitu. so wakiamua kumsajili kwa hizo 70M ni BS yatajirudia ya Pepe
 
Angalia umri mkuu tukisema haya haya kwa wilshere na Ramsey kuwa kucheza dakika nyingi umri mdogo utaleta majanga huko mbeleni.

Tuombe uzima ila tutarudi hapa after 2 years kuongelea how Saka ruined his knees due to exhaustion and overruns!! Alafu mtakua wa kwanza kumshambulia Arteta kwa poor management of young players.
 
Arteta kashathibitisha kuwamanage hao watoto ,

Wewe endelea kupinga , ila Usitegemee Saka awe anakupumzishwa ,alishakataa Hilo Jambo

Hata Raphina alitakiwa kuja sio kukaa bench Ni kufanya rotation tu ,

Kucheza mechi nyingi hakumfanyi mchezaji aumie , kuumia alisema Arteta wanaumia hata Mazoezini
 
Atletico Ni timu ya kupaki Basi ,sio possession team ,usitudanganye

Halafu Arsenal ya Arteta haisajili kwa Mihemko au kwasababu mchezaji fulani Ni mzuri, wanasajiri kwa kuangalia anafaa kwenye mfumo .

Bado hujifunzi tu ,ndio nyie mliponda Sajiri za Kina Tomiyasu, White, Ramsdale,Jesus ,n.k

Wewe sema humtaki Murdky na humjui, ila tambua Arsenal ina maskauti wanaofanya hiyo kazi

Summer ,Arsenal ilifanya skauti ya LB alikuwepo Martinez ,Gomez ,na Zinchenko

Nani alikuwa anamjua Martinez Lisandro? Hata man u wamekuja kuingilia baadae Baada ya ETH kuwa kocha wa man u .

Gomez ulikuwa unamjua? Yupo City ,Baada ya Arteta kumbeba Zinny,

Unachanganya usajiri wa Pepe na Arteta'e Era?upo seriously?

Pepe alisajiriwa kipind Cha Raul sanheil kipind ambacho Model ya Arsenal haimruhusu kocha kuwa na Say yoyote ,kumbuka Emery alimtaka Zaha ,
 
Hizi unazopiga hapa Ni ramli, Saka ameanza lini kucheza? Kaanza 2019 Kama Beki LB, kila Siku anazidi kukua ,Hana Rekodi za Injury Kama hao unaodai Saka atakuwa hivo, hizo unazofanya Ni ramli.

Ramsey hakuwa injury prone unamsingizia, Ramsey alivunjika dhidi ya Stoke city akaa nje miezi 9 , hakuumia sababu ya kucheza mechi nyingi .

Yaani kuumia kwa mchezaji hata Mazoezini wanaumia Tena injury mbaya ,kaangalie injury ya Nkuku aliyoipata mazoezin France NT dhidi ya camavinga .


Arteta alisema wachezaji Bora wote wanacheza mechi Hadi 70 .

Ndio maana anasema hataki kuleta mchezaji wa Benchi, Bali atakayekuja na kufanyiwa rotation ,


Angetaka wa Benchi ,Pepe anafaa Sana kuwa Benchi .
 
Toka lini Simeone awekeze kwenye possession game?
Mimi nakushauri kakomae na siasa ,habari nyingi za Mpira Hasa Arsenal zimekupita

Unafananisha usajiri wa Pepe na Sajiri za Arteta?

Unajua walimsajiri Pepe walifukuzwa kazi Arsenal na Tim Lewis ,yupo kwenye picha hapo.,Ni Lawyer na memba wa Bodi ya Arsenal .

Unajua Usajiri wa Pepe na Sajiri kibao kipind Cha Emery zilikuwa Sajiri za Viongozi sio Emery, sababu alikuwa HEAD COACH tu.

Arsenal, Juventus, Mancity ,Madrid wanamuhitaji Murdky ,watu wamefanya skauti ,wewe unabeza kirahisi Sana

Usajiri Ni kamari lakini unavyo mu underrate Huyo dogo duh!

Nowdays mpira umehamia kwenye majukumu zaidi ya vipaji binafsi,

Nilipingana Sana na mashabiki humu baadhi ,walimkataa Ramsdale wakisema ameshusha timu 3 daraja , lakini Arteta alikomaa akatoa £30m , wakabeza wakasema anashindwa kutoa £10m kwa Onana,

 
Some Key points from @amylawrence71's article:

The club is looking to add 1-2 players in January: A wide player and a DM on the agenda.
The board won't panic and won't be affected by Jesus's injury.
FFP, KSE, and Arteta’s standards are factors.



(@amylawrence71) wa The Athletic anayekava pia habari za Arsenal anaripoti

Arsenal wanataka kujiimarisha na msimu huu wa baridi(January) Mshambulizi wa pembeni anayeweza au mwenye uwezo wa kufunga na kutengeneza mabao, yumo kwenye orodha ya wachezaji wanaotakiwa, pamoja na kiungo ambaye anaweza kukamilisha sifa mahususi za Thomas Partey.


Arteta hana nia ya kuleta mtu yeyote ambaye hana uwezo wa kuingia kwenye kikosi cha kwanza. Hapendezwi na kujaza kikosi tu.


Arsenal wanavutiwa na mshambuliaji wa Shakhtar Donetsk Mykhailo Mudryk na kiungo wa kati wa Palmeiras Danilo, 21, lakini kuna majina mengine kwenye list hiyo.
 
Adidas Arsenal 2023-24 home shirt brings back an element of one of the fans' all-time favorite kit - gold logos, similar to the 2005-2006 Highbury home kit.

"Except for the gold, the kit will be very different from the 2005-2006 Highbury kit"

(@Footy_Headlines)
 
Mikel Arteta na Edu Gaspar walikuwa na mmiliki wa Arsenal Stan Kroenke wikendi hii iliyopita. Ilikuwa ni safari iliyopangwa mapema kwenda Marekani, na wote wawili Arteta na Edu wanasafiri kwa ndege kutoka Los Angeles hadi Dubai kwa kambi ya timu .

Arsenal wako tayari kumsaidia Arteta katika dirisha la Januari, na kabla ya jeraha la Jesus, kipaumbele kikuu kilikuwa fowadi wa pembeni.

Urefu wa jeraha la Jesus unaweza kuathiri mipango ya Arsenal ya uhamisho, na kukamilika kwake kutategemea kama anahitaji upasuaji au la.


[@sr_collings]
 
Would you take Sane at Arsenal?


#AFC #ArsenalView attachment 2436564
Mashabiki wa AsaniWali hua mpaka mchana wa jua kali wanapata njozi.
Endeleeni kuota hivyohivyo ila Kroenke's family wanawachora tu huku wanacheka mpaka wanashikilia mbavu.
Hili dirisha dogo hakuna mchezaji yoyote wa maana atakaesajiliwa Arsenyeto.
 
Gabriel Jesus amerejea London na kwa sababu ya kuonana na mtaalamu wa goti katika siku ili kujua kiwango kamili cha jeraha.


itategemea kama anahitaji kufanyiwa upasuaji au la.
 
️Gabriel Martinelli gives @geglobo a list of the best players he's played with


You gotta love this guy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…