makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,962
- 104,375
Namuheshimu white ila alichokifanya saliba ni miles kadhaa mbele.Saka walau Kuna nelson na marquinhos wanaweza Unga Unga kidogo... Upande wa Martinelli Kuna ESR anarudi January nadhani.
Labda kwa Gabriel ndio Hana sub ya LCB. Ila Saliba sub yake ni White so sio issue sana.
Eneo muhimu pekee ni Jesus na sub ya Partey maana bila midfield na Striker wa kueleweka tusahau top 4
Arsenal msimu uliopita hawakuwa na malengo ya kuingia top 4 elewa Hilo Kwanza,Nadhani unaona Liverpool inavyotaka kununuliwa na Msaudia.... Hapo Bado Man UTD naye Kuna rumours ikauzwa. Remember Newcastle nao wanazidi kupanda let alone Spurs, Chelsea na man City wanazidi kuimarika.
Hii ndio chance pekee ya kuingia UCL na kushinda ligi tukikosa hii nafasi tutajutia milele. It's a now or never situation hiki kiburi Cha kuepuka "panic buy" kilitukosesha UCL msimu uliopita na mentality hii ikiendelea tutakosa sio tu ligi ila hata top 4!!
Then msimu ujao kikosi kitakua exhausted, kina Saka na Martinelli hawatasaini mkataba mpya, na itakua downfall ya Arteta na Arsenal kwa ujumla. Sijui kwanini hamuelewi huu msimu ndio make or break!!
Jesus anahitaji sub pia Saka na Partey wanahitaji sub hata kama ni mizigo ila we need depth. Mara kumi hata tusajili kwa mkopo ilimradi kuwepo na kikosi kipana kutuvusha top 4 ama ubingwa kabisa.
ESR nadhani anaweza ingia kwa Martineli apoZa ligi? Kiukweli jesus, partey, saliba, xhaka tunawahitaji kwa game zote zilizobaki.
Naogopa nketiah kupewa nafasi ya jesus, labda martinelli, shida kwa martinelli atacheza nani?
Apone haraka
Hiki unachosema wewe , Arteta na Edu walisema hadharan hawawezi kufanya kamwe, walisema wamepata kazi kubwa Sana kuwaondoa Deadwoods, hivo Kama wanakosa mtu sahihi sokon Ni Bora wasisajiri kabisa ,wakatoa mfanoNadhani unaona Liverpool inavyotaka kununuliwa na Msaudia.... Hapo Bado Man UTD naye Kuna rumours ikauzwa. Remember Newcastle nao wanazidi kupanda let alone Spurs, Chelsea na man City wanazidi kuimarika.
Hii ndio chance pekee ya kuingia UCL na kushinda ligi tukikosa hii nafasi tutajutia milele. It's a now or never situation hiki kiburi Cha kuepuka "panic buy" kilitukosesha UCL msimu uliopita na mentality hii ikiendelea tutakosa sio tu ligi ila hata top 4!!
Then msimu ujao kikosi kitakua exhausted, kina Saka na Martinelli hawatasaini mkataba mpya, na itakua downfall ya Arteta na Arsenal kwa ujumla. Sijui kwanini hamuelewi huu msimu ndio make or break!!
Jesus anahitaji sub pia Saka na Partey wanahitaji sub hata kama ni mizigo ila we need depth. Mara kumi hata tusajili kwa mkopo ilimradi kuwepo na kikosi kipana kutuvusha top 4 ama ubingwa kabisa.
Mkuu tupo hapa, tusiposajili 6,9, na 7/11 hata top 4 hatugusi. Na hao uliotaja hawatosaini wanasikilizia trend ya timu mwisho wa msimu waone ambition ipoje. Na tukiwapoteza hao sababu ya lack of UCL na makombe tegemea msimu ujao vipigo tu na Arteta atafukuzwa tutaanza Tena A.Arsenal msimu uliopita hawakuwa na malengo ya kuingia top 4 elewa Hilo Kwanza,
Project ya Arsenal chin ya Edu na Arteta wanayoiita The Arsenal way ,Ni ya miaka mitano , ndio maana hata usajiri ulilenga hasa umri miaka 20-24
Msimu uliopita wanasema ilikuwa Ni kucement Style ya uchezaji ,na timu iingie top 6 tu, ndio maana hata usajiri ulilenga wachezaji wanaoingia kwenye mfumo na ku trim kikosi kuondoa Deadwoods kitu ambacho kwa 90% wamefanya ,
Arteta alipoingia top 5 tu, huku ametoka kupoteza Mechi 3 mfululizo, Asubuhi aliitwa ofisini kwa Josh Kroenke akapewa mkataba mpya .
Msimu uliopita ndio msimu ambao Arteta Ali establish mfumo wa 4-3-3 wenye namba 8 wawili ambao alisema anataka Arsenal iucheze huo, ila Hana wachezaji wakucheza karibu 6.
Msimu uliopita Hatukuwa na backup upande wa LB,RB na DM ambaye Ni Partey type.,kumbuka alikuwepo Elneny ambaye alifanya vizuri TU
Mapengo yaligharimu mwishoni yalikuwa LB kuumia kwa Tierney ,RB kuumia kwa Tomiyasu, ikabid White arudi RB na CB acheze holding ambaye Ni average player
Nafasi ya Partey alicheza Elneny ambaye kwa Arteta anaaminika hata Sasa hawana mpango wakumuuza
Martinel,Saka, Saliba , Ramsdale wote mikataba ipo mezani na taarifa Reliable zinasema muda wowote watasaini, Martinel alitamka hadharan APEWE PENI ASAINI
Kama Arteta kufukuzwa bas angefukuzwa mwaka JanaMkuu tupo hapa, tusiposajili 6,9, na 7/11 hata top 4 hatugusi. Na hao uliotaja hawatosaini wanasikilizia trend ya timu mwisho wa msimu waone ambition ipoje. Na tukiwapoteza hao sababu ya lack of UCL na makombe tegemea msimu ujao vipigo tu na Arteta atafukuzwa tutaanza Tena A.
Hivi hamjifunzi kwa Solskjaer au Emery? Walienda unbeaten ngapi? Mpaka UEL final ila wakafukuzwa kama panya!!
Usitegemee Arsenal itasajiri hao wachezaji WanneMkuu tupo hapa, tusiposajili 6,9, na 7/11 hata top 4 hatugusi. Na hao uliotaja hawatosaini wanasikilizia trend ya timu mwisho wa msimu waone ambition ipoje. Na tukiwapoteza hao sababu ya lack of UCL na makombe tegemea msimu ujao vipigo tu na Arteta atafukuzwa tutaanza Tena A.
Hivi hamjifunzi kwa Solskjaer au Emery? Walienda unbeaten ngapi? Mpaka UEL final ila wakafukuzwa kama panya!!
Shida kubwa kwa mashabiki wa AsaniWali ni kupenda kujitoa ufahamu.Mkuu tupo hapa, tusiposajili 6,9, na 7/11 hata top 4 hatugusi. Na hao uliotaja hawatosaini wanasikilizia trend ya timu mwisho wa msimu waone ambition ipoje. Na tukiwapoteza hao sababu ya lack of UCL na makombe tegemea msimu ujao vipigo tu na Arteta atafukuzwa tutaanza Tena A.
Hivi hamjifunzi kwa Solskjaer au Emery? Walienda unbeaten ngapi? Mpaka UEL final ila wakafukuzwa kama panya!!
Akili zako zipo matakoni,wewe msimu huu ni rahisi kwako??Shida kubwa kwa mashabiki wa AsaniWali ni kupenda kujitoa ufahamu.
Hizi mechi walizoshinda mzunguko wa kwanza wanajiona tayari wameshamaliza kila kitu wanachosubiri ni mwezi May ufike tu wakabidhiwe kombe.
Wasichokijua msimu huu kwao ni ngumu hata kuwepo kwenye top4.
Mimi nashuka daraja kabisa ila nyinyi Arsenyani kwa jinsi mlivyojiwekea matumaini ya kuchukua kombe msimu huu halafu mnakuja kuishia kwenye top6 nategemea kutakua na vifo vingi vya kujinyonga kwa mashabiki wa Arsenyani mwisho wa msimu.Akili zako zipo matakoni,wewe msimu huu ni rahisi kwako??
nakuchukulia kama MACHOKO wengine waliojazana mitaani
Hamis77 vipi leo Watford waliubonda mwingi kwenye kipigo cha mbwa mwizi 4-2?Thomas Partey will travel directly to Dubai tomorrow to join up with the rest of the Arsenal squad for their warm-weather training camp. [@Blaqqkoffi] #afc
Tulipowapiga 2-1Hamis77 vipi leo Watford waliubonda mwingi kwenye kipigo cha mbwa mwizi 4-2?
Hakuna cha miscarriage, miscarriage ndio wafiche fiche. hilo jamaa shoga limekimbizwa inch y kiislam. Shoga tangu lini likawa na mke.