hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,410
- 26,971
Ratiba yetu mwaka huu imekaa utamu Sana aiseeRatiba yetu Baada ya World Cup
Sioni wakutoa hata sare hapa
Sijaona timu hapa inayotuzidi kumiliki mpira ,
Ukiweza kumiliki mpira Basi 80% una uhakika wakushinda mechi .
Arsenal msimu huu kila Mechi karibu zote tunapiga pass 500+ iwe away au home,
Timu zinazocheza Low block Ndio tunazitaka
Ukibisha naweka MsimamoView attachment 2416204
Hapo wote hao Ni timu zakukaa nyuma tukikutana nao ,
Nimewangalia westham , Spurs ,wote Hawa Ni Kama wolves mabeki watano
Man u , Emirates atapaki Basi ,
Newcastle ,tough game ,watakuja Emirates Sion wakichomoka ,
Baada ya hizo mech 5
Anabaki Chelsea anayekuja home , mancity mech 2 na Liverpool away
Mechi mbili za mancity na Liverpool away ,Hizi Ndio mechi 3 zenye Ubingwa
Katika Hizi point 9 iwapo tutavuna points 5-7 shughuli itakuwa imeisha