Sio Manchester City inawezekana team nyingi leo ikiwemo Arsenal tukawa na mpira mbovu reason ni world Cup next week mchezaji akipata injury ni 2026 ujue
Mbwa mwitu leo anaenda kujitafunia mbuzi za Arteta.
Na jinsi wachezaji wao walivyoshiba leo unaenda kupigwa mpira wa maguvu maguvu ili kuwatosha wavulana wa Arteta.
Kuna wachezaji leo wanaenda kupasuliwa kongos
Ikifika mwezi May mtamkana wenyewe huyo Mateka wenu, mimi ninachokifanya sasa hivi ni kusave tu hizo comments zenu halafu nitawaonyesha kipindi mtakachoanza kulialia humu ndani kua Arteta afukuzwe. View attachment 2414531
Juve are interested in Mudryk but sources have indicated Arsenal have already made an offer and are
accelerating talks to sign him in January. They’ve been working for months on the deal. View attachment 2412616
Nyie endeleeni kubargain bei halafu wanaume wanakuja kupanda dau.
Hivi kwa mchezaji ambae mnaamini ni quality £60 ni ya kukaa na kuanza kulialia kweli?
Juventus tayari ameshaingilia kati na yupo tayari kutoa hio £65 na kama msipomalizana nae muda huu baada ya fainal za kombe la dunia thamani yake itakuwa ni zaidi ya £80.
Ikifika mwezi May mtamkana wenyewe huyo Mateka wenu, mimi ninachokifanya sasa hivi ni kusave tu hizo comments zenu halafu nitawaonyesha kipindi mtakachoanza kulialia humu ndani kua Arteta afukuzwe. View attachment 2414531