Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Mbwa mwitu leo anaenda kujitafunia mbuzi za Arteta.
Na jinsi wachezaji wao walivyoshiba leo unaenda kupigwa mpira wa maguvu maguvu ili kuwatosha wavulana wa Arteta.
Kuna wachezaji leo wanaenda kupasuliwa kongos
Ikifika mwezi May mtamkana wenyewe huyo Mateka wenu, mimi ninachokifanya sasa hivi ni kusave tu hizo comments zenu halafu nitawaonyesha kipindi mtakachoanza kulialia humu ndani kua Arteta afukuzwe. View attachment 2414531
Mbona unateseka wewe jamaa sisi tunapigania namba 4 sio ubingwa ili tuingie champions league,ubingwa mnapigania nyie na city.
 
Ajichanganye aende akawe flop huko..
 
Ikifika mwezi May mtamkana wenyewe huyo Mateka wenu, mimi ninachokifanya sasa hivi ni kusave tu hizo comments zenu halafu nitawaonyesha kipindi mtakachoanza kulialia humu ndani kua Arteta afukuzwe. View attachment 2414531
Arteta hawez kubebewa Hilo bango ,

Unajua Arteta alikuwa anampa Hadi madini Arsene Wenger?

Arsene Wenger alimtabiria makubwa Sana.

Angalia video hii

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…